Nazjaz
JF-Expert Member
- Jan 20, 2011
- 7,730
- 9,088
Hela huna, yaani ukose hata mikwara nyuma ya keyboard?Kumbe na ww una gari eeh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hela huna, yaani ukose hata mikwara nyuma ya keyboard?Kumbe na ww una gari eeh
🤣🤣🤣🤣Hyo dhambi yako mie simoHela huna, yaani ukose hata mikwara nyuma ya keyboard?
Ndio watu wa JF wanavyoishi🤣🤣🤣🤣Hyo dhambi yako mie simo
🤣🤣Leo ngoja ninyamaze kuna zombie ningemtag Alf ungeangalia vijimaneno ooh sijui ni na nn kumbe mim afadhaliNdio watu wa JF wanavyoishi
Haha hahah just tag him🤣🤣Leo ngoja ninyamaze kuna zombie ningemtag
🤣🤣🤣🤣 Itakua ugomvi na mi leo kwani nautaka ugomvi Leo sitaki manenoHaha hahah just tag him
🤸🤸♀️🤸♂️🤣🤣🤣🤣Hyo dhambi yako mie simo
Uchawi wa Kimwakaleli, ila pia Kigoma Region Tanzania kuna uchawi, unameza dawa, ukipigwa panga hata likiwa limenolewa vipi, haliwezi kukukataLeo mida ya saa nane kasoro ishirini usiku tumemkamata kibaka akiiba vitu kutoka katika gari yangu Harrier.
Kwa hasira tukaanza kumpiga kwa mawe na matofali, kwa zaidi ya masaa mawili anapigika na wala haumii wala hatoki damu.
Mida ya saa kumi tukaamua kumvisha gurudumu na kumchoma moto.
Tukamwagia petroli kisha tukamuwasha. Matokeo yake ni nguo zake tu ndizo zilizoungua.
Gurudumu likawaka juu ya mwili wake bila ndugu kibaka kudhurika.
Tukawa wapole tukamwacha aende.
Je huu ni uchawi wa namna gani?
Kweli wapo huko mwakaleli mkuu!Uchawi wa Kimwakaleli, ila pia Kigoma Region Tanzania kuna uchawi, unameza dawa, ukipigwa panga hata likiwa limenolewa vipi, haliwezi kukukata
PichaLeo mida ya saa nane kasoro ishirini usiku tumemkamata kibaka akiiba vitu kutoka katika gari yangu Harrier.
Kwa hasira tukaanza kumpiga kwa mawe na matofali, kwa zaidi ya masaa mawili anapigika na wala haumii wala hatoki damu.
Mida ya saa kumi tukaamua kumvisha gurudumu na kumchoma moto.
Tukamwagia petroli kisha tukamuwasha. Matokeo yake ni nguo zake tu ndizo zilizoungua.
Gurudumu likawaka juu ya mwili wake bila ndugu kibaka kudhurika.
Tukawa wapole tukamwacha aende.
Je huu ni uchawi wa namna gani?
= kutujulishaMapronsoo, ulitaka kutujurisha kwamba na wewe una gari Harrier!!
Sijasoma, nina elimu elimu ya madrasa.= kutujulisha
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
akikujibu nitagg mkuu🤣🤣 hii vita sasaSijasoma, nina elimu elimu ya madrasa.
Kwamba risasi inakata Kona.Uchawi wa kihivyo sijawahi kuusikia. Mi nshausikia ule uchawi ambao ukipigwa risasi, risasi inakukwepa
Na brother angu mtoto washangazi kwenye ukoo....acha porojo hizo wewe..hapa kuna watu wazima
peleka fb
Mang'angaLeo mida ya saa nane kasoro ishirini usiku tumemkamata kibaka akiiba vitu kutoka katika gari yangu Harrier.
Kwa hasira tukaanza kumpiga kwa mawe na matofali, kwa zaidi ya masaa mawili anapigika na wala haumii wala hatoki damu.
Mida ya saa kumi tukaamua kumvisha gurudumu na kumchoma moto.
Tukamwagia petroli kisha tukamuwasha. Matokeo yake ni nguo zake tu ndizo zilizoungua.
Gurudumu likawaka juu ya mwili wake bila ndugu kibaka kudhurika.
Tukawa wapole tukamwacha aende.
Je huu ni uchawi wa namna gani?