Je huu ni ugonjwa gani kwenye Korosho?

Lovery

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2014
Posts
1,555
Reaction score
3,208
Tafadhali wataalam naomba msaada wa majina aina ya dawa ambazo zinaweza kusaidia kuondoa tatizo hili, ukiachana na huo weupe pia kuna matunda mengine yanakuwa kama yanaungua yanakauka na kudondoka.
 
Tembelea kwa bwana shamba aliye karibu nawe ukapate msaada
 
Lakini kama matunda yanaweka madoa meusi na kudondoka ,hapo yaweza ikawa blight au ni mbu( kwa lugha ya wakulima wa pwani) au tea mosquito!

Kama ni blight na unafanya conventional farming na pia kifedha unajiweza tafuta NATIVO
 
Lakini kama matunda yanaweka madoa meusi na kudondoka ,hapo yaweza ikawa blight au ni mbu( kwa lugha ya wakulima wa pwani) au tea mosquito!

Kama ni blight na unafanya conventional farming na pia kifedha unajiweza tafuta NATIVO
Asante sana, bado sijapiga sulfur ya poda, nilikuwa natumia ya maji yenye kiambata cha Hexaconazole 50, nitatafuta dawa hiyo mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…