Je huu ni ugonjwa gani na naombeni ushauri wa dawa zake

Mimi mwenyewe mama anahilo tatizo cjui afanyeje?
 
Hiyo ni Gout
 
Mimi mwenyewe mama anahilo tatizo cjui afanyeje?
Ninakushauri Aende hospitali kupima Mafigo yake je yanafanya kazi vizuri? Kuvimba kwa mikono au miguu pia kunachangia mafigo yakiwa hayafanyi kazi vizuri basi itakuwa ndio sababu ya maradhi ya kuvimba. Dawa ya kuweza kumtibu bibi yako ninazo ukiweza kunitafuta mimi nitafute kwa njia mbili njia ya kwanza ni baruwa ya pepe email yangu hii hapa fewgoodman@hotmail.com What's App+905344508169 Ushauri wangu awe anakunywa maji mengi ya Uvugvugu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…