Je huu ni ugonjwa gani na naombeni ushauri wa dawa zake

Je huu ni ugonjwa gani na naombeni ushauri wa dawa zake

Ninakushauri Aende hospitali kupima Mafigo yake je yanafanya kazi vizuri? Kuvimba kwa mikono au miguu pia kunachangia mafigo yakiwa hayafanyi kazi vizuri basi itakuwa ndio sababu ya maradhi ya kuvimba. Dawa ya kuweza kumtibu bibi yako ninazo ukiweza kunitafuta mimi nitafute kwa njia mbili njia ya kwanza ni baruwa ya pepe email yangu hii hapa fewgoodman@hotmail.com What's App+905344508169 Ushauri wangu awe anakunywa maji mengi ya Uvugvugu.
Mimi mwenyewe mama anahilo tatizo cjui afanyeje?
 
Habarini wakuu ..Bibi yangu anadai mikono yake na miguu inamuuma na imevimba anadai alienda hospitali na kupewa dawa za Arthritis na Rheumatic hakupona pia ametumia dawa za maumivu bila mafanikio .
df111c141ca05a59c562ea95f17c5662.jpg
1bc8f946a2aca13f143fa19b85fc3e7e.jpg
aa41b0dd91c71c436ccaa176f7cc1c7a.jpg

Je wakuu naombeni nnishauri ni dawa gani anaweza tumia zikamsaidia.
Natanguliza shukrani
Hiyo ni Gout
 
Mimi mwenyewe mama anahilo tatizo cjui afanyeje?
Ninakushauri Aende hospitali kupima Mafigo yake je yanafanya kazi vizuri? Kuvimba kwa mikono au miguu pia kunachangia mafigo yakiwa hayafanyi kazi vizuri basi itakuwa ndio sababu ya maradhi ya kuvimba. Dawa ya kuweza kumtibu bibi yako ninazo ukiweza kunitafuta mimi nitafute kwa njia mbili njia ya kwanza ni baruwa ya pepe email yangu hii hapa fewgoodman@hotmail.com What's App+905344508169 Ushauri wangu awe anakunywa maji mengi ya Uvugvugu.
 
Back
Top Bottom