Nina furaha kukujulisha kuwa huu uzi wako umeuanzisha wakati mzuri, kwa sasa tuna kituo cha tiba kipya ambacho kinatoa offer ya kupima afya bure kwa sasa.
Ninakushauri nenda kwenye hicho kituo na usiwaambie tatizo lako lolote wacha wafanye vipimo vyao vya afya na watagunduwa tatizo lipi linakusababishia hiyo hali uliyonayo.
Pitia hapa kwa maelezo zaidi: https://www.jamiiforums.com/matangazo-madogo/868345-bure-fursa-ya-mwaka-pima-afya-yako-bure.html
Nashkuru nitafika hapo pia. Asante
na Ndo maana siwaelewagi watu wanaotetea kuwa masturbation Ina faida.that thing ni pepo kabisa! first the addictive feeling it gives you, and the way everything in your life physically na aspects zingine zinavofall apart.dude ata ukipewa hormonez thy might not help you at all
Vipi Kuna mabadiliko yoyote toka umeacha?
Yes aisee kwa mbali mkuuu. Kuna some changes..... japo cyo sana
Kwa mda gani umeacha? Na changes ulizopata kama hutojali
Mkuu el chappo Kwakitendo cha wewe kupiga Punyeto na huo unene ulikuwa nao ndio unakusababisha wewe uwe huna hamu ya kufanya Tendo la ndoa. Unatakiwa kiafya hapo upunguze kilo karibu 30 ndipo utakuwa na hamu ya kufanya mapenzi na nguvu zako za kiume zinaweza kurudi bila ya hivyo utamaliza Dawa Hospitali. Ukitaka dawa ya kupunguza unene tumbo kilo na Mafuta mwilini nitafute mimi Dawa ninayo ukinihitajimimi bonyeza hapa.DAWA YA KUPUNGUZA UNENE, MAFUTA, KILO NA TUMBONdio napiga punyeto ila sishindwi kuacha. Nina kilo 108 urefu wangu ni 6.3 ft. Hapana sio mtu wa mazoezi Kaka. Thanks for your concern
kukosa ham ya kudocha mwaka mzima sio kawaida kwa mwanaume rijali aisee,,mm wiki tuu naiona ndefu,,mwache jamaa atafute ushauri lazma atakuwa na tatizo
Tafuta wale wamasai wanatembezaga dawa!
Kapime testosterone hormones zitakuwa chini sana
Nenda hospitali kubwa kubwa.Sehemu gani ninaweza Pata huduma hii