JE, HUU NI UUNGWANA: Mapenzi na Makofi

JE, HUU NI UUNGWANA: Mapenzi na Makofi

Yes kaunga,he supposed to know kila kitu ili ajue km atawezana nami or not,

I thx god amenielewa na kunizoeoa na kunirekebisha vile vinavorekebishika we are moving on,the same na kwake pia ilimfanya naye awe open nami nimeayazoeya ya kwake na kumrekebisha yanayorekebishika,

Na yale yote yasiyorekebishika kwa pande zote tumeyatafutia namna ya kuvumiliana kwa vile kila mmoja anayajua ya mwenzie na namna ya kuyahandle!

Kwenye purple bold, it is the WORD. Hongereni sana, the best thing kwenye relationship ni kubebeana mizigo aka kuvumiliana udhaifu. Ngoma ipo kwenye kudefine which kind of udhaifu unavumilika na which dont!

To some people kudundana kunavumilika, kwangu mimi ni next to impossibe
 
....kama hujawahi kukung'utwa utotoni ili "kushikishwa" adabu, huwezi jua yaliyomo
mioyoni na akilini mwa watu hawa....lol
 
Kwenye purple bold, it is the WORD. Hongereni sana, the best thing kwenye relationship ni kubebeana mizigo aka kuvumiliana udhaifu. Ngoma ipo kwenye kudefine which kind of udhaifu unavumilika na which dont!

To some people kudundana kunavumilika, kwangu mimi ni next to impossibe
Ndio ivo ukiona hayawezekani kuvumiliana basi ni kuambiana tu ukweli kabla hamjaanza kudundana na kudhalilishana!
 
@speaker,

Nadhani inategemea wameishi kwa muda gani pia, na inategemea uelewa wa wanandoa hao pia.

Inawezekana mkaishi pamoja, mkabariki ndoa baadae na mkashindwana. Umenikmbusha mtu mmoja waliishi miaka kama 5, wakabariki ndoa, lakini sasa hivi mme kama vile kaikimbia ndoa.

Ngoja kwanza nikakamue ng'ombe, ntarudi.
 
@speaker,

Nadhani inategemea wameishi kwa muda gani pia, na inategemea uelewa wa wanandoa hao pia.

Inawezekana mkaishi pamoja, mkabariki ndoa baadae na mkashindwana. Umenikmbusha mtu mmoja waliishi miaka kama 5, wakabariki ndoa, lakini sasa hivi mme kama vile kaikimbia ndoa.

Ngoja kwanza nikakamue ng'ombe, ntarudi.

Dah,umenikumbusha mbali sana kuhusu kukamua ng'ombe aisee.
Afu nilikuwa mdogo kweli enzi hizo nakamua.
 
Yes kaunga,he supposed to know kila kitu ili ajue km atawezana nami or not,

I thx god amenielewa na kunizoeoa na kunirekebisha vile vinavorekebishika we are moving on,the same na kwake pia ilimfanya naye awe open nami nimeayazoeya ya kwake na kumrekebisha yanayorekebishika,

Na yale yote yasiyorekebishika kwa pande zote tumeyatafutia namna ya kuvumiliana kwa vile kila mmoja anayajua ya mwenzie na namna ya kuyahandle!

My dear.....waweza kuwa honest kwa mwenzako na yeye pia UKAMUONA yuko real!! But......how sure are you kwamba yuko real au ni imani tu?
 
Aah mie siwezi! Utotoni nipigwe hata ukubwani?? Nashikishwa adabu ama? Pole kwa wapigwao aisee.......
 
Mkuu kongosho,..
Hivi haijawahi kutokea watu wakakaa mda mrefu then wakaenda kubariki
ndoa na baada ya hapo ndo wakakosana?....just curious.

Binafsi sidhani kama kuachana ni jambo jema,...niseme tu hivo kwa kifupi
ila ukitaka maelezo yapo kiimani zaidi.

Nadhani ingekuwa vyema kuchukua uamuzi wa kumfahamu mwenzako vyema
kabla hamjaingia kwenye mkataba wa milele,NDOA.
Lakini huku kukutana miezi miwili mna kimbilia kuandaa kadi za michango na
harusi mmmmh,sidhani kama ndoa hizo huwa zinadumu.

Sijao,lakini mchumba wangu tume fahamiana miaka takribani 6 sasa,tunategemea
kufunga ndoa mwakani (hatuishi pamoja,usidhani nipo kwenye category ya wanao enda kubariki ndoa).

Kwa kuwa tumekuwa pamoja mda mrefu,ana nifahamu nikikasirika nakuwa vipi,....ni katika hali gani
naweza fanya something bad na nikiwa kwenye hali hiyo ani face kwa style gani ili nirudi to normal.
Namfaham pia akiwa kwenye mood mbaya kama kukasirishwa anakuwa vipi na anaweza kufanya nini.

Sidhani kama haya yote unaweza kuyajua ndani ya miezi mi3 au 6 then mnakimbilia kuoana.
Ni vigumu sana,kuna vitu toka kwake nime vijua mwaka huu,lakini atleast najua kwamba
kwa vyote ninavyo vijua so far vina vumilika na haviwezi sababisha kuachana.

Nisi iongelee future sana,lakini kufahamiana vyema kunajenga msingi wa future yenu.
Hata mkigombana na ikatokea mwenzako kashindwa kuzihimili hasira zake
na akakuchapa kofi sio kwamba hakupendi,....tena yawezekana akafanya hivyo out of love.
(nimewahi kupigwa kofi,...after that alistuka na kuomba msamaha,na nilikuwa nimefanya kitu kibaya
kweli,.....she did what was right at that moment kuondoa hasira zake).

Lakini kama kupigana ni tabia,kama kule kwetu,........ukikuta hamna ugari unampiga mkeo,..
haja kufulia nguo una mpiga......mmmh,....HIYO NDOA HAIKUWA HIYARI YENU.

Mkuu elewa kuwa tasnia hii ya mapenzi na mahusiano hakunaga FORMULAR. wapo waliokutana leo wiki ijayo wakafunga ndoa na wakaishi kwa amani na pia wapo walichunguzana kwa miaka mpaka kumi, lakini wakaachana baada ya miaka michache ya ndoa (miaka ya uchumba ni mingi kuliko ya ndoa). Tatizo kubwa lililopo hapa ni tabia za asili walizo nazo wanaume na wanawake.
Kwa ufupi tu (maana somo lenyewe linahitaji nafasi) mwanaume yoyote duniani hata wewe mwenyewe (kama ni mwanaume) anachohitaji ni heshima ya utiifu kutoka kwa mke. Tatizo wanawake wengi huota "mapembe" baada ya ndoa ya huacha kuwatii waume zao na ugomvi unaanzia hapa.
na
mwanamke yoyote duniani hata wewe (kama wewe ni mwanamke) anachohitaji ni kupendwa na kuridhika kuwa kweli mumewe anamjali YEYE TU. Ikiwa mumewe atajali wengine ndani ugomvi, ikiwa mwanaume umepunguza upendo kwa mkeo kwa kupoteza muda mwingi kwa 'washikaji' ndani manung'uniko yanaanza.
KILA MMOJA ATIMIZE WAJIBU WAKE KWA MWINGINE; MWANAUME MPENDE NA MJALI MKEO, NA MWANAMKE MTII MUMEO.
 
Back
Top Bottom