Lizzy si ndo maana ya foreplay bana? Mwanzoni mwanaume unashughulika kumwandaa mamsap na mwishoni anakusaidia kushusha mapigo ya moyo,au?
heheheheh! Nini kuchokonoa pua. Wengine wanapga punye..to. Dah! Hii mikono ndio maana hutakiwi kula bila kunawa.mimi inanikera kuchokonoa pua kwa vidole halafu kumpa mtu mkono kumsalimia..ndiyo mana salamu yangu huwa sishikani mikono na watu!!
khaaaa! utasababisha mada ipelekwe jukwaa la wakubwa ujue.heheheheh! Nini kuchokonoa pua. Wengine wanapga punye..to. Dah! Hii mikono ndio maana hutakiwi kula bila kunawa.
Lizzy,wewe ni mtu mzima,kuna kitu ningeongea kuhusu usafi wenu baada ya tendo lakini hapa sio pahala pake,lakini kwa kifupi si rahisi mwanaume kumsafisha mwanamke,and you know it,mtu mzima weye.Kwani yeye hahusiki kwenye maandalizi???!Anza kumsafisha wewe ili aone raha yake na kutambua umuhimu wake uone kama nae hatoanza!!
Msaidie hivyo hivyo...ugumu kitu gani bana!Lizzy,wewe ni mtu mzima,kuna kitu ningeongea kuhusu usafi wenu lakini hapa sio pahala pake,lakini kwa kifupi si rahisi mwanaume kumsafisha mwanamke,and you know it,mtu mzima weye.
Rose1980,Belindajacob,Merytina,Lizzy mnaona men to men tunavyoongea?
Rose1980,Belindajacob,Merytina,Lizzy mnaona men to men tunavyoongea?
Ndugu zangu kuna vitabia flan flan vinakera,mwenye navyo aviache.Mfano:
1. Wenzio wanakula wewe unapenga kamasi
2. Mko internet cafe wewe unaongea na simu kwa lisauti likuuuuubwa,inakera jamani
3.Kujishaua,mara oh juzi nilivyokuwa Dubai,mara oh blackberry yangu bomba,kakuuliza nani?
4.Kutegea bill bar,raundi yako ikifika unakwenda chooni
5. Kuazima kitu cha mtu usirudishe
Last but most important kinamama ambao baada ya kuliwa mzigo unamwacha mzee akanawe mwenyewe bafuni badala ya kutenga mapema maji vuguvugu kwenye beseni na sabuni ili mkimaliza umsafishe mzee kwa mapenzi huku unamshukuru kwa kukupa mahanjam.
heheheheh! Nini kuchokonoa pua. Wengine wanapga punye..to. Dah! Hii mikono ndio maana hutakiwi kula bila kunawa.
Hapana Ma'swagga,ni suala la utaratibu tu.
Last but most important kinamama ambao baada ya kuliwa mzigo unamwacha mzee akanawe mwenyewe bafuni badala ya kutenga mapema maji vuguvugu kwenye beseni na sabuni ili mkimaliza umsafishe mzee kwa mapenzi huku unamshukuru kwa kukupa mahanjam.
khaaaa! utasababisha mada ipelekwe jukwaa la wakubwa ujue.
heheheeh BJ bana! hongera kwa kubeba EPL. Halaf juzi nilienda gesti moja maeneo ya sinza nikaona inaitwa Old Trafford khaa! ukivaa jezi ya Manu unapunguziwa bei ya chumba.Klorokwin anakudanganya..huyo ameandaa wipes zake na anamfutaga wifi ohh..ha ha
umewekwa na bishanga.utaratibu upi/gan?
umewekwa nanan?