Je, huu ni uungwana?

Je, huu ni uungwana?

Kirikou Wa Kwanza

JF-Expert Member
Joined
May 24, 2013
Posts
3,564
Reaction score
1,991
Nimepanga kwenye nyumba moja hapa Mbezi Makonde, nadaiwa kodi ya mwezi mmoja. Nimemwambia baba mwenye nyumba anivumilie kidogo, kaitikia ndio ajabu kila akiniona ananiimbia taarabu.

Je, huu ni uungwana?
 
Last edited:
Hapana mkuu, sijistukii nimemwambia anivumilie, nashangaa tu kuona huyu mzee kumuimbia taarabu kidume mwenzake au ndio wanaume wa Dar walivyo?
Huko kusikiliza taarabu ameanza baada ya wewe kumpiga kalenda kuhusu kodi yake au yeye mwenyewe ni mpenzi wa taarabu tangu zamani na wewe ukaamua kuunganisha matukio....???
 
Huko kusikiliza taarabu ameanza baada ya wewe kumpiga kalenda kuhusu kodi yake au yeye mwenyewe ni mpenzi wa taarabu tangu zamani na wewe ukaamua kuunganisha matukio....???

Huyu mzee sio mpenzi wa taarabu ameanza kuimba mipasho baada ya kuona eti nachelewa kumpa kodi yake, lakini nimemwambia n'tampa.
 
Back
Top Bottom