Je huu ni uvunjaji wa heshima?

Je huu ni uvunjaji wa heshima?

Quemu

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2007
Posts
984
Reaction score
133
Husband/boyfriend anapenda kuangalia picha za ngono kwenye mitandao. Kila siku haishi kwenda kwenye ukumbi wa “JF Mambo ya Kikubwa” na kuzubaa huko kwa muda mrefu. Isitoshe amejiandikisha kwenye site za kingonongono kama Adult Friend Finder. Na pia ana DVDs kibao za mambo hayo, ambapo mara kibao unamfuma akiziangalia huku akiwa amejifungia chumbani/akiwa peke yake.
Je hii imekaaje? Je wives/girlfriends wanavunjiwa heshima na husband/boyfriend wenye tabia hii? Je huku ni kucheat?
 
Yeah thats cheating..

Halafu ni vizuri kutofautisha 'mambo ya kikubwa' na mambo ya kikubwa (bila '') ..hizi phrases 2 zina maana tofauti kubwa kama vile mashariki na magharibi..
 
Yeah thats cheating..

Halafu ni vizuri kutofautisha 'mambo ya kikubwa' na mambo ya kikubwa (bila '') ..hizi phrases 2 zina maana tofauti kubwa kama vile mashariki na magharibi..

Well, mimi nazungumzia ile tabia ya kushabikia mambo ya kikubwa kwenye mitandao. Hii haina maana kuwa kuna "utokaji wa nje." Kwa maneno mengine, kuwa addictive na porn site na movies.
 
Well, mimi nazungumzia ile tabia ya kushabikia mambo ya kikubwa kwenye mitandao. Hii haina maana kuwa kuna "utokaji wa nje." Kwa maneno mengine, kuwa addictive na porn site na movies.


Kaka naona bado , Ndo maana nikasema:

Halafu ni vizuri kutofautisha 'mambo ya kikubwa' na mambo ya kikubwa (bila '')

Kuhusu kutoka nje, ni pamoja na kujenga HISI nje ya mahusiano mliyokubaliana kuyalinda.
 
Labda pengine ungeeleza tofauti.

Iko nje ya mada, lakini nitajitahidi, kwa kifupi.

Ni hivi: Kwa wale wanaomhofia Mwenyezi Mungu huwa wanakuwa wakali sana na lugha hizi za kibiashara kuingizwa kila pahala..Mathalan, hili la FILAMU ZA ZINAA NA UZINZI zinapewa jina zuri eti ni FILAMU ZA WAKUBWA..Hamna ukubwa wowote hapo basi tu ni ukengeufu na ubatili vinakumbatiwa


Turejee kwenye mada..
 
Back
Top Bottom