Je, huu sio utapeli?

Je, huu sio utapeli?

Wilhelm Johnny

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2016
Posts
1,368
Reaction score
1,325
Kuna account huko Instagram inafanya biashara ya vyombo vya ndani na jikoni. Huyu bwana anabei inayotamanisha kweli na kwa maelezo yake baada ya kumtwangia simu alidai hana ofisi bidhaa zake zipo nyumbani yeye ukihitaji mzigo anakutumia. Mimi binafsi sikua na shaka na maelezo yake linalonitatiza ni kwanini kafunga comment kwenye Post zake. Je kuna aliyewahi fanya biashara na huyu bwana akapata bidhaa.
S90415-23332332.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tulia kwa hewa


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom