Je, huu ulozi au kitu gani? Naomba ushauri wenu

Je, huu ulozi au kitu gani? Naomba ushauri wenu

Sanze M

JF-Expert Member
Joined
Jul 20, 2021
Posts
4,141
Reaction score
8,602
Habari wana JF wote,

Nyumbani kwangu huwa kunatokea matukio ambayo mimi nayaita ya ajabu kwani kuna mtu nisiyemfahamu anajisaidia haja kubwa pembeni kabisa ya nyumba yangu sasa sijui anakuwa na lengo gani.

Sasa nataka nijue kama anafanya ulozi au nini! Na kama ni ulozi nini itakuwa dawa ya kumkomesha huyo asidi?

Naomba ushauri wenu ili iwe fundisho kwa watu wenye tabia hii mbaya.
 
Habari wana JF wote, Nyumbani kwangu uwa kunatokea matukio ambayo mimi nayaita ya ajabu kwani kuna mtu nisiye mfahamu anajisaidia haja kubwa pembeni kabisa ya nyumba yangu sasa sijui anakuwa na lengo gani. Sasa nataka nijue
kama ulozi au nini! Na kama ni ulozi nini itakuwa dawa ya kumkomesha huyo asidi?
Naomba ushauri wenu ili fundisho kwa watu wenye tabia hii mbaya.
Na kumvizia je umkule bakora!!
 
Mnalewa mnakunya pembeni wenyewe halafu mnasingizia uchawi

Nani aloge kwa kunya ?
 
Sasa nataka nijue kama anafanya ulozi au nini! Na kama ni ulozi nini itakuwa dawa ya kumkomesha huyo asidi?
Mchawi namba moja ni wewe na hisia zako, jikomeshe mwenyewe kwa kuacha hizi fikra potofu.

Jiulize kama ni uchawi, unalogwa kwa lipi?
Kwa maelezo yako tu inaonesha unaishi uswahilini, sasa je ni nini kimebadilika kwako mpaka hao majirani wakuloge?

Tafuta pesa upeleke watoto shule!
 
Mchawi namba moja ni wewe na hisia zako jikomeshe mwenyewe kwa kuacha hizi fikra potofu.

Jiulize kama ni uchawi, unalogwa kwa lipi?
Kwa maelezo yako tu inaonesha unaishi uswahilini, sasa je ni nini kimebadilika kwako mpaka hao majirani wakuloge?

Tafuta pesa upeleke watoto shule!
Nimeomba ushauri kwahiyo hata hayo maoni yako nayapokea wala usifikiri nitakutusi au kukudharau.
 
Mnalewa mnakunya pembeni wenyewe halafu mnasingizia uchawi

Nani aloge kwa kunya ?
Yaani ni niache choo ndani niende kujisaidia nje! Hivi una akili wewe? Soma kitu vizuri ndio uchangie au wanzuki ulizokunywa ndio zinakuzingua?
 
Back
Top Bottom