Je huyu anastahili adhabu gani kwa kumtusi Rais namna hii?

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Upinzani mara zote hutumia njia zisizo sahihi kufikisha ujumbe na hisia zao bila kujua kama zinaweza kuwaweka kwenye matatizo makubwa,

huyu mtu asipofungwa sijui, huwezi kumdhalilisha rais wa nchi namna hii lazima hatua zichukuliwe, tuheshimu mamlaka zetu


Ushauri kwa Kenya igeni mkono wa Chuma wa Tanzania , CHUMA
 
Anarusha mitusi akiwa Chicago, aje hapa Kisumu arekodi hiyo video aone hizo ndevu kama hazijahamia makalioni!
je akiwa nje ya nchi ndo sheria hazimuhusu?
 
Adhabu ya kunyongwa mpaka kufa huku amejinyea
 
Nikajua anamtusi Magufuli [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] asingemaliza jioni hii bila kuwa maarufu nchini.
 
Huyu anapunguza hasira za laila kuukosa uraisi Hahahahahaha
 
Wewe nawe unahitaji adhabu kali pia kwa kusambaza video ya matusi as per cyber crime act!!
 
Kama adhabu itaanza nawewe unaesambaza....matusi ya nn hata kama ya nchi nyingine, kizazi hiki kinaskitisha sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…