SankaraBoukaka
JF-Expert Member
- Jul 2, 2019
- 1,213
- 1,918
Habarini ndugu!
Kuna mtu kanipiga swali nimeshindwa kumjibu,, yeye alikuwa mfanyakazi sehemu kwa muda wa Miaka 4 na mkataba umeisha juzi Tarehe 31/05/2023.
Amekuwa akiulizia kuhusu kuongeza mkataba kwa muda wa mwezi lakini anaambiwa asubiri.
Jana Tarehe 01/06/2023 akiwa ameenda kuulizia issue ya ajira yake kama ataendelea na kazi akakutana na barua ya KWAHERI kwamba hawana haja naye tena.
Halafu kumbe hakuwahi kuandikishwa NSSF, je huyu anaweza kudai 10% Ile ambayo ilitakiwa mwajiri achangie?
Kuna mtu kanipiga swali nimeshindwa kumjibu,, yeye alikuwa mfanyakazi sehemu kwa muda wa Miaka 4 na mkataba umeisha juzi Tarehe 31/05/2023.
Amekuwa akiulizia kuhusu kuongeza mkataba kwa muda wa mwezi lakini anaambiwa asubiri.
Jana Tarehe 01/06/2023 akiwa ameenda kuulizia issue ya ajira yake kama ataendelea na kazi akakutana na barua ya KWAHERI kwamba hawana haja naye tena.
Halafu kumbe hakuwahi kuandikishwa NSSF, je huyu anaweza kudai 10% Ile ambayo ilitakiwa mwajiri achangie?