GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Nilikuwa nakataa kuwa duniani Watu wanafanana lakini baada tu ya kuwaona hawa Wawili Wafananao nimekubali.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
leta picha mkuuNilikuwa nakataa kuwa duniani Watu wanafanana lakini baada tu ya kuwaona hawa Wawili Wafananao nimekubali.
Kama humfahamu huyu mwamba, basi maisha yako ni mafupi sana. Mtu anapata impression ya account 40,000 kila siku ndani ya YouTube ambazo 72 - 76 % ni Tanzania na Kenya unashindwaje kumfahamu?leta picha mkuu
Youtube naingiaga mara kwa miezi hata 2, siukubali tu huo mtandao.Kama humfahamu huyu mwamba, basi maisha yako ni mafupi sana. Mtu anapata impression ya account 40,000 kila siku ndani ya YouTube ambazo 72 - 76 % ni Tanzania na Kenya unashindwaje kumfahamu?
Yaani ni sawa na mtu alete uzi wa Diamond halafu useme humjui hadi uletewe picha. Weka bando mkuu, acha kutia 50MB halafu utegemee kuYutubika
We jamaa bana,Ndio madhara ya kushinda badoo hayoYoutube naingiaga mara kwa miezi hata 2, siukubali tu huo mtandao.
Badoo ndio kitu gani??We jamaa bana,Ndio madhara ya kushinda badoo hayo
Fanya utafiti utaijua badoo na lengo la uwepo wakeBadoo ndio kitu gani??
Mimi YouTube naingia kila wakati ila sijakutana na huyo mwambaKama humfahamu huyu mwamba, basi maisha yako ni mafupi sana. Mtu anapata impression ya account 40,000 kila siku ndani ya YouTube ambazo 72 - 76 % ni Tanzania na Kenya unashindwaje kumfahamu?
Yaani ni sawa na mtu alete uzi wa Diamond halafu useme humjui hadi uletewe picha. Weka bando mkuu, acha kutia 50MB halafu utegemee kuYutubika
Haya maelezo yasingehitajika kama ungeweka picha tu mkuuKama humfahamu huyu mwamba, basi maisha yako ni mafupi sana. Mtu anapata impression ya account 40,000 kila siku ndani ya YouTube ambazo 72 - 76 % ni Tanzania na Kenya unashindwaje kumfahamu?
Yaani ni sawa na mtu alete uzi wa Diamond halafu useme humjui hadi uletewe picha. Weka bando mkuu, acha kutia 50MB halafu utegemee kuYutubika
Niwie radhi, maana umenituhumu kutumia kitu nisichokijua.Fanya utafiti utaijua badoo na lengo la uwepo wake
Umeshafanya utafiti tayari kabla sijakuwia radhiNiwie radhi, maana umenituhumu kutumia kitu nisichokijua.
Kama humfahamu huyu mwamba, basi maisha yako ni mafupi sana. Mtu anapata impression ya account 40,000 kila siku ndani ya YouTube ambazo 72 - 76 % ni Tanzania na Kenya unashindwaje kumfahamu?
Yaani ni sawa na mtu alete uzi wa Diamond halafu useme humjui hadi uletewe picha. Weka bando mkuu, acha kutia 50MB halafu utegemee kuYutub
Yani usipowajua hao watu ndio maisha ya mtu yanakua mafupi?Kama humfahamu huyu mwamba,basi maisha yako ni mafupi sana. Mtu anapata impression ya account 40,000 kila siku ndani ya YouTube ambazo 72 - 76 % ni Tanzania na Kenya unashindwaje kumfahamu?
Yaani ni sawa na mtu alete uzi wa Diamond halafu useme humjui hadi uletewe picha. Weka bando mkuu, acha kutia 50MB halafu utegemee kuYutubika
Tafiti ya nini??Umeshafanya utafiti tayari kabla sijakuwia radhi
Hivi maaana ya great thinker ni nini???Kama humfahamu huyu mwamba, basi maisha yako ni mafupi sana. Mtu anapata impression ya account 40,000 kila siku ndani ya YouTube ambazo 72 - 76 % ni Tanzania na Kenya unashindwaje kumfahamu?
Yaani ni sawa na mtu alete uzi wa Diamond halafu useme humjui hadi uletewe picha. Weka bando mkuu, acha kutia 50MB halafu utegemee kuYutubika
Nimeshangaa sana hata mi simjui mbonaKama humfahamu huyu mwamba, basi maisha yako ni mafupi sana. Mtu anapata impression ya account 40,000 kila siku ndani ya YouTube ambazo 72 - 76 % ni Tanzania na Kenya unashindwaje kumfahamu?
Yaani ni sawa na mtu alete uzi wa Diamond halafu useme humjui hadi uletewe picha. Weka bando mkuu, acha kutia 50MB halafu utegemee kuYutubika
Basi jaribu kubadilisha hicho kifaa cha mawasiliano unachotumia, badala yake nunua simu inayoelewekaMimi YouTube naingia kila wakati ila sijakutana na huyo mwamba