Je huyu kapata mimba?

radika

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2014
Posts
20,440
Reaction score
32,260


Wataalamu wa hii kitu naomba kuuliza kama tayar kishanasa.
 
Hicho sio kipimo cha mimba.....

Hicho in kipimo kinachopima ute after hedhi.... Unachukua kijiti ( cotton stick) unaingiza ukeni then utapaka kdg kwenye hicho kidide unakaa kwa dakika chache ili kupata rangi..
Baada ya hapo unalinganisha hizo rangi kama kinavyojieleza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…