Hicho in kipimo kinachopima ute after hedhi.... Unachukua kijiti ( cotton stick) unaingiza ukeni then utapaka kdg kwenye hicho kidide unakaa kwa dakika chache ili kupata rangi..
Baada ya hapo unalinganisha hizo rangi kama kinavyojieleza
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.