Je huyu kapata mimba?

Je huyu kapata mimba?

radika

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2014
Posts
20,440
Reaction score
32,260
received_354836318327722.jpeg


Wataalamu wa hii kitu naomba kuuliza kama tayar kishanasa.
 
Hicho sio kipimo cha mimba.....

Hicho in kipimo kinachopima ute after hedhi.... Unachukua kijiti ( cotton stick) unaingiza ukeni then utapaka kdg kwenye hicho kidide unakaa kwa dakika chache ili kupata rangi..
Baada ya hapo unalinganisha hizo rangi kama kinavyojieleza
 
Back
Top Bottom