Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,775
- 29,746
Akikujibu nishtue pleaseOh, my goodness! Kwa nini ni milioni thelathini na si mamilioni thelathini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akikujibu nishtue pleaseOh, my goodness! Kwa nini ni milioni thelathini na si mamilioni thelathini?
Ambayo nayo hayako sahihi pia.Haina shida angalia maandishi tuuu,
Hivyo vyote ni vitu vidogo sana, the most important document ni bank slip. Ingekuwa ni malipo yamepokelewa cash hapo mngekuwa na hoja kwenye bank slip kila kitu kiko right.Wewe ni Mwanasheria/Mwanahabari, mambo ya kihasibu tuachie wenyewe wahasibu. Sifuri zilizoko upande wa Cents zibakie kua ni Cents, Sio number nzima, lakini kosa jingine pia Sifuri zilizokatwa hazihesabiki. Na Mwishowe hatusemi MillionS.
Kimsingi kwa Mhasibu anaejielewa ange cancel tu hii risiti atoe mpya. Ila Sasa ukute hata mhasibu mwenyewe nae kama wewe tu, hajui kua amekosea, anaona iko Sawa.
Hilo lina ukweli ndio maana wenye nchi mnawaogopa chademaChadema ni wajuaji sana kila jambo wanajua na wao ni wajuaji sana ndio maana hujiona wao wana akili kuliko watu wote Tanzania........
"weredi"__" weledi"Mtaani tunavijana wengi wanatafuta ajira wenye weredi na uandishi mzur,
Sisemi aondolewe,
Naomba ajirekebishe wasije waka replace uandishi wake
Chadema ni wajuaji sana kila jambo wanajua na wao ni wajuaji sana ndio maana hujiona wao wana akili kuliko watu wote Tanzania........
Akinijibu nitakujibuOh, my goodness! Kwa nini ni milioni thelathini na si mamilioni thelathini?
Hata katika maneno kakosea. Ni bora angeandika kwa Kiswahili tu tungemuelewa. Kiasi cha pesa ni shilingi milioni thelathini tu. Unapoandika "thirty millions" una tofauti gani na yule atakayeandika "ten thousands" akimaanisha elfu kumi.Ameacha nafasi kibao za digits mbele ya 30,000,000 akaandika kwa kubania hadi kwenye sehemu ya cents. Digits zote za 30,000,000 zingeweza kuenea kama angetumia umakini kidogo
Kuna kamchezo kanataka kucheza hapa. Nako ni kakutakatisha fedha.Hiyo risiti ni ya tsh 30,000/=aliyepokea risiti ndo kaibiwa hapo,kwa sababu sifuri za mwisho zimekatwa,
Katoa milioni 30 alafu kapewa risiti ya elfu 30,
aaa eti,,,,thirty milions only ndo nini !?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata wewe umekosea, tena wewe umekosea zaidi ya karani. Wewe umesema Serikali ya Jamhuri ya Tanzania badala ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania sasa sijui hautambui Muungano kama Zitto au ni kiburi tu kama MembeSitaeleza mengi ila nitaachia picha iongee...
View attachment 1384541
Kinachohuzunisha na kusikitisha ni kwamba hii risiti imetolewa ofisini kwa Hakimu Mkazi Mwandamizi, Kisutu.