Je, huyu mtabiri alikuwa sahihi kuhusu Putin na tukio la Julai?

tutafikatu

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2011
Posts
3,327
Reaction score
4,624
Anaitwa Kim Clement. Alikuwa nabii muimbaji. Alifariki November 2016 akiwa na miaka 60. Alishatabiri vita ya Ukraine na Russia. Alitabiri kwamba kuna roho itaingilia kati itakayomfanya Putin aondoe jeshi kwenye nchi huru aliyoivamia. Alitabiri kuwa Putin atauwawa nchini mwake. Utabiri wake unahusu Julai, hakusema Julai ya mwaka upi. Kumbuka Tim Clement kafariki miaka mitano na miezi mitatu kabla ya kuibuka kwa vita ya Russia na Ukraine.

 
Sasa hapo si anaongelea Crimea
 
Mungu akisema inatendeka 100% bila tashwishi.
Hapo Putin akiwa na maarifa anaweza kupinga huo utabiri na akawa salama
 
Nimewahi kusikia Russia Ina uwezo mkubwa wa cloning na ndio inaongoza kwenye eneo hilo duniani
 


The King of Kings, His Exellence Putin, has several body double, so the real Putin is still unknown, achana na huyo mtabiri hewa, hakuna utabiri ni ndoto tu
 
Nafikiri ndio inakuja hiyo mwezi kesho ngoja tuone.
 
Russia haitasambaratika .
Uasi uliotokea ni jambo dogo utadhibitiwa .mapema sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…