wanaume wa aina hii huwa wananikera sana sijui tatizo lao ni nn??
mtu kaamua kukueleza ukweli wa maisha yake unaanza kuleta second guessing ya maamuz yako mwenyewe..
hivi kwa generation hii tuliyopo hujui ni wanawake wachache wanaoamua kumwambia mtu ukweli wa maisha yake?? kasoro namba ya MAEX wake atakudanganya,,,hii ni given kama fomula kwenye hesabu...
sasa sijui angekaa kimya na ungekuja kujua baadae sijui ungeamuaje?? nadhan ungekuja humuhumu kuuliza tena??
ANAFAA KUOA,CHUKUA MKE KIJANA kama huwez UMBA WAKO..
mtu kaamua kukueleza ukweli wa maisha yake unaanza kuleta second guessing ya maamuz yako mwenyewe..
hivi kwa generation hii tuliyopo hujui ni wanawake wachache wanaoamua kumwambia mtu ukweli wa maisha yake?? kasoro namba ya MAEX wake atakudanganya,,,hii ni given kama fomula kwenye hesabu...
sasa sijui angekaa kimya na ungekuja kujua baadae sijui ungeamuaje?? nadhan ungekuja humuhumu kuuliza tena??
ANAFAA KUOA,CHUKUA MKE KIJANA kama huwez UMBA WAKO..