Je, ikikutokea hivi utachukua hatua gani?

katoto kazuri

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2018
Posts
6,124
Reaction score
5,745
Umekuwa na mpenzi wako wa mtandaoni ambaye hamjawahi kuonana na akaomba umtumie picha. Ukamtumia picha mbili moja ya mwingine na nyingine yako.

Akimchagua na kuonekana kuvutiwa na ile isiyo yako utajisikiaje?
 
Hivi uelewa wangu unapungua sikuizi ama huyu mleta uzi ananicompromise kwa uandikaji wake!!?

:::::::UPDATE::::::::
Hapo umeeleweka sasa, kumbe uelewa wangu haujashuka ila wewe mleta uzi ulikurupuka.

Achana na wa mitandaoni, mtaani mbona vidume wengi tu!
 
Shule zinafunguliwa lini?
Hakuna tuisheni?
 
KUNA WATU WATAKUJA KU COMMENT NI WANAUME WA DAR!!!
 
yaani hapo ni sawa na kuchezea shilingi kwenye tundu la........????.
 
Umekuwa na mpenzi wako wa mtandaoni ambaye hamjawahi kuonana na akaomba umtumie picha. Ukamtumia picha mbili moja ya mwingine na nyingine yako.

Akimchagua na kuonekana kuvutiwa na ile isiyo yako utajisikiaje?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa hapo unalaumu nn tena??
 
Kata gogo ulale.. Unaanzaje kuwa na mpenzi ambaye hata sura yake huijui?

Shauri yenu mtakuja kubakwa na majini endekezeni tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…