SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 47,706
- 69,281
Nimejiuliza sana hili swali bila majibu. Ukiangalia yanayoendelea hivi sasa ndani ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi unaweza ukafikiri ni maigizo. Watu wazima na akili zao kujiita "Chawa wa Taifa/Mama" ni aibu.
Wale wote aliowakataa ndani ya Chama/Serikali ndio walamba asali kwa sasa.
Yaani ikitokea tu paap Jiwe huyu hapa, yeye mwenyewe akiyaona yanaoendelea hivi sasa itakuaje/atafanyaje?
Au hawa walamba asali kwa sasa wakimuona watafanyaje?
Mkuu umenichekesha sana. Gwajiboy sio Mtu kamponza mwenzake kachomoka yeye anadunda.[emoji23][emoji23]Ila huyu gwajiboy ni mtu mbaya sana, ndiye alimuingiza chaka dhalim kuidharau Corona na akamdanganya kuwa hata ikimpitia yeye anayo karama ya kufufua wafu na atamfufua yalipomkuta ya kumkuta akauchuna kana kwamba hajui kufufua wafu.
Atakuwa ni rais mstaafu.Nimejiuliza sana hili swali bila majibu. Ukiangalia yanayoendelea hivi sasa ndani ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi unaweza ukafikiri ni maigizo. Watu wazima na akili zao kujiita "Chawa wa Taifa/Mama" ni aibu.
Wale wote aliowakataa ndani ya Chama/Serikali ndio walamba asali kwa sasa.
Yaani ikitokea tu paap Jiwe huyu hapa, yeye mwenyewe akiyaona yanaoendelea hivi sasa itakuaje/atafanyaje?
Au hawa walamba asali kwa sasa wakimuona watafanyaje?
🤣🤣🤣🤣🤣sikutegemeaWajane wake tu
Wanatamani kwa kuwa hawajapa madhila yaliyoipata private sector ya TZ, tena kwa Kenya ukiibana private sector ndiyo umeua uchumi wao wote.Mabaya yake nayatumia kama alert kuwafundisha Walio hai wasipite njia hiyo,
Bt MAZURI yake nitayaenzi daima, mtu yule alidhamiria kuondoka gap kubwa lililotengezwa kati ya Wachache walioshikilia Uchumi dhidi ya wengi wasio nacho,
Kenya hapo tu majirani zetu wanatamani Magu angekuwa Rais wao bt he is gone[emoji18][emoji18][emoji18]
Itabidi tumrudishe tena kwanini afufuke
🤣🤣🤣🤣🤣😅
Atakuwa zombie, imagine alikuwa kichaa before sasa ukiongeza na u-zombie [emoji3446] [emoji3444] ndiyo atajiua mpaka yeye mwenyewe ili awe anakufa na kufufuka.Magufuli akifufuka moja kwa moja ikulu, hakuna mpumbavu yeyote atazuia hilo...walamba asali watakufa kwa presha
Wanaomtaja kwa mema ndiyo wachache tena mostly ni sukuma gang kwani hata wewe ni mmoja wa sukuma gang.Kwa utafiti wangu,
Wanaomtaja Magu Kwa mabaya ni kundi dogo sana,
Nimebahatika kuifuatilia mikutano ya hivi karibuni ya CDM under Mnyika na Heche, pia mikutano ya CCM ground,
Magu Bado ni TURUFU ya Chaguzi zijazo nchini ktk majukwaa ya kisiasa.
Majority ya wanaojitambua walimpinga.Kwa ushahidi kwenye thread hii, ni wengi pande zote. Hata hivyo, kwenye mikutano, walio wengi wana uelewa mdogo kwa hiyo kazi kubwabb ya mikutano ni kutoa elimu.
100%Kwani mmesahau akina Musiba, Makonda na Hapi walivyokuwa wanatusi watu: Bora hata chawa hawapotezi watu bali wananyonya damu tu na hata hufii!
No halipo kundi Hilo ndugu, ni kundi la kufikirika.Wanaomtaja kwa mema ndiyo wachache tena mostly ni sukuma gang kwani hata wewe ni mmoja wa sukuma gang.
Acha bangiNimejiuliza sana hili swali bila majibu. Ukiangalia yanayoendelea hivi sasa ndani ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi unaweza ukafikiri ni maigizo. Watu wazima na akili zao kujiita "Chawa wa Taifa/Mama" ni aibu.
Wale wote aliowakataa ndani ya Chama/Serikali ndio walamba asali kwa sasa.
Yaani ikitokea tu paap Jiwe huyu hapa, yeye mwenyewe akiyaona yanaoendelea hivi sasa itakuaje/atafanyaje?
Au hawa walamba asali kwa sasa wakimuona watafanyaje?
Mhuni sana huyu Mzee wa kutafuna kondoo wakeMkuu umenichekesha sana. Gwajiboy sio Mtu kamponza mwenzake kachomoka yeye anadunda.[emoji23][emoji23]