Je, ikitokea Hayati Magufuli kafufuka nini kitatokea?

Je, ikitokea Hayati Magufuli kafufuka nini kitatokea?

Naheshimu mawazo Yako,

Umefanya utafiti Kwa unayoyasema?

Heche na Mnyika wamefanya mikutano na kuongea na wananchi,

Hawathubutu kumkejeli Magu mbele ya umma, amefanya mengi MAZURI Kwa Nchi.

Magu ndo TURUFU ya Chaguzi zijazo, amini usiamini.
Magu hawezi kuwa turufu kokote hata kwenye kampeni au mikutano itakayofanyika Chato labda wanasiasa wawe hawana akili, kuna mchanganyiko wa watu aliofanikiwa kuwa-brainwash na wale wenye akili waliochukia mabaya aliyowafanyia watu kama kuua,kuteka,kujeruhi na kutesa.
 
Naheshimu mawazo Yako,

Umefanya utafiti Kwa unayoyasema?

Heche na Mnyika wamefanya mikutano na kuongea na wananchi,

Hawathubutu kumkejeli Magu mbele ya umma, amefanya mengi MAZURI Kwa Nchi.

Magu ndo TURUFU ya Chaguzi zijazo, amini usiamini.
Mkuu hukumjua Magufuli vizuri..

Worst ever president we had at moment...

Nakupa very clear picture kwa alichokifanya kwa kuuwa sekta binafsi tena makusudi... Ila wafusi wake hawaelewi kabisa..

Ukiona Rais anachukia private sector eti wametoa wapi mitaji na kuwakandamiza... Tambua ajira zinaenda kufa..

Serikalini hakuna mkamilifu... Magufuli alikuwa Waziri wa Ujenzi na tender za Ujenzi au kandarasi alizijua... Na kuna 10% katika malipo mbalimbali katika miradi...
Magufuli amekula % lakini alikuwa na chuki binafsi kwa makumpuni flani flani ili kampuni nyingine ya sirini mwake inufaike (Mayanga)

Alipopata madaraka aliishughulikia Elerai Northern Engineering ya Arusha makusudi... Na kuchukua zaidi ya nusu ya capital ya kampuni.. Na kupeleka hiyo hela... Nusu Serikalini na iliyobaki kuinua Mayanga construction..

Sasa je ulishawahi kuona mtu unakuwa Rais kisha unaua kampuni kwa manufaa yako binafsi.? Yaani unaua mitaji ya watu na ajira kwa neno uzalendo.?

Na ndio maana alifariki ghafla
 
Mkuu hukumjua Magufuli vizuri..

Worst ever president we had at moment...

Nakupa very clear picture kwa alichokifanya kwa kuuwa sekta binafsi tena makusudi... Ila wafusi wake hawaelewi kabisa..

Ukiona Rais anachukia private sector eti wametoa wapi mitaji na kuwakandamiza... Tambua ajira zinaenda kufa..

Serikalini hakuna mkamilifu... Magufuli alikuwa Waziri wa Ujenzi na tender za Ujenzi au kandarasi alizijua... Na kuna 10% katika malipo mbalimbali katika miradi...
Magufuli amekula % lakini alikuwa na chuki binafsi kwa makumpuni flani flani ili kampuni nyingine ya sirini mwake inufaike (Mayanga)

Alipopata madaraka aliishughulikia Elerai Northern Engineering ya Arusha makusudi... Na kuchukua zaidi ya nusu ya capital ya kampuni.. Na kupeleka hiyo hela... Nusu Serikalini na iliyobaki kuinua Mayanga construction..

Sasa je ulishawahi kuona mtu unakuwa Rais kisha unaua kampuni kwa manufaa yako binafsi.? Yaani unaua mitaji ya watu na ajira kwa neno uzalendo.?

Na ndio maana alifariki ghafla
Mabaya yake nayatumia kama alert kuwafundisha Walio hai wasipite njia hiyo,

Bt MAZURI yake nitayaenzi daima, mtu yule alidhamiria kuondoka gap kubwa lililotengezwa kati ya Wachache walioshikilia Uchumi dhidi ya wengi wasio nacho,

Kenya hapo tu majirani zetu wanatamani Magu angekuwa Rais wao bt he is gone😌😌😌
 
Nimejiuliza sana hili swali bila majibu. Ukiangalia yanayoendelea hivi sasa ndani ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi unaweza ukafikiri ni maigizo. Watu wazima na akili zao kujiita "Chawa wa Taifa/Mama" ni aibu.

Wale wote aliowakataa ndani ya Chama/Serikali ndio walamba asali kwa sasa.
Yaani ikitokea tu paap Jiwe huyu hapa, yeye mwenyewe akiyaona yanaoendelea hivi sasa itakuaje/atafanyaje? Au hawa walamba asali kwa sasa wakimuona watafanyaje??
Hili la Machawa naliona kwamba lina hatari ya kukua na kuwa tatizo baadae. Linanikumbusha green brigade na red brigade! Chawa wa viongozi mbalimbali au wa vyama mbalimbali wanaweza wakakua mpaka wakaota mapembe. Wakianza kupigana huko mitaani kwa ajili wa Ma Boss wao, itakuwa shida. Tunajenga Makundi yanayopingana na kusigana kwenye jamii. Nadhani idea ya Machawa tuiache mapema.

Kuhusu kufufuka, halipo Hilo. Ila unaweza kusema hajatokea Kiongozi akatugawa Nchi hii kama Mwendazake. Mpaka Leo tumegawanyika. Hakuna legacy ambayo iko contested kama yake tangu tupate Uhuru. Legacy kubwa zaidi ni ya Baba Wa Taifa. Lakini haijaigawa Nchi hata kwa asilimia 5 ya mgawanyo uliosababishwa na awamu iliyopita. Wala hatutapata majibu kama Hawa waliopo wamepatia au la mpaka awamu hii iishe. Lakini kwa vyovyote vile, tunaonekana kuwa kwenye njia Bora na salama zaidi kuliko mwanzo.
 
Hatoelewa chochote kwa sababu atakuwa no mtuu mfuu tangu lini ulisikia mtuu aliyefufuka akawa mtimamu wa akili kwahiyo akifufuka atakuwa Kama hamnazo tuuu
 
Magufuli akifufuka moja kwa moja ikulu, hakuna mpumbavu yeyote atazuia hilo...walamba asali watakufa kwa presha
 
Inaonyesha alivyo ligawa Taifa. Wanao muunganmkono na wanaompinga wote ninwengi!
Pia inaweza kuwa ni kipimo Cha Utendaji KAZI uliotukuka Kwa wananchi aliowatumikia.

Maana kwann hawaachi kumtaja Kwa mixed feelings?
 
Nimejiuliza sana hili swali bila majibu. Ukiangalia yanayoendelea hivi sasa ndani ya Serikali ya Chama Cha Mapinduzi unaweza ukafikiri ni maigizo. Watu wazima na akili zao kujiita "Chawa wa Taifa/Mama" ni aibu.

Wale wote aliowakataa ndani ya Chama/Serikali ndio walamba asali kwa sasa.
Yaani ikitokea tu paap Jiwe huyu hapa, yeye mwenyewe akiyaona yanaoendelea hivi sasa itakuaje/atafanyaje? Au hawa walamba asali kwa sasa wakimuona watafanyaje??
Kitu cha kwanza ni kumkamata na kumsweka ndani na atakuwa na kesi za kujibu angalu laki 6.
 
Mawazo mgando haiwezi kutokea na haitatokea na hatuwezi imagine sabu aliahakufa na alishaoza
 
Wengi wanamtaja kwa Mema, na wengi wanamtaja kwa mabaya. It's mixed! It's divisive!
Kwa utafiti wangu,

Wanaomtaja Magu Kwa mabaya ni kundi dogo sana,

Nimebahatika kuifuatilia mikutano ya hivi karibuni ya CDM under Mnyika na Heche, pia mikutano ya CCM ground,

Magu Bado ni TURUFU ya Chaguzi zijazo nchini ktk majukwaa ya kisiasa.
 
Kwa utafiti wangu,

Wanaomtaja Magu Kwa mabaya ni kundi dogo sana,

Nimebahatika kuifuatilia mikutano ya hivi karibuni ya CDM under Mnyika na Heche, pia mikutano ya CCM ground,

Magu Bado ni TURUFU ya Chaguzi zijazo nchini ktk majukwaa ya kisiasa.
Kwa ushahidi kwenye thread hii, ni wengi pande zote. Hata hivyo, kwenye mikutano, walio wengi wana uelewa mdogo kwa hiyo kazi kubwabb ya mikutano ni kutoa elimu.
 
Huu uzi upelekwe kule kwa kina Mshana Jr na Pasco. Ndo kuna mambo hayo ya wafu
Uthubutu, Uzalendo , Uchapakazi wa Magu hajaenda nao Kaburini,

Mambo hayo muhimu yamejengeka ndani ya mioyo ya wengi walioamini ktk KAZI alizofanya.

Kumbuka jambo hili muhimu,

LEGACY aloiacha Magu Kwa Taifa haijafa, Bado tutaitumia kama kipimo juu ya uwajibikaji wetu na viongozi ktk KAZI za Umma.

Aamen
 
Hili la Machawa naliona kwamba lina hatari ya kukua na kuwa tatizo baadae. Linanikumbusha green brigade na red brigade! Chawa wa viongozi mbalimbali au wa vyama mbalimbali wanaweza wakakua mpaka wakaota mapembe. Wakianza kupigana huko mitaani kwa ajili wa Ma Boss wao, itakuwa shida. Tunajenga Makundi yanayopingana na kusigana kwenye jamii. Nadhani idea ya Machawa tuiache mapema.

Kuhusu kufufuka, halipo Hilo. Ila unaweza kusema hajatokea Kiongozi akatugawa Nchi hii kama Mwendazake. Mpaka Leo tumegawanyika. Hakuna legacy ambayo iko contested kama yake tangu tupate Uhuru. Legacy kubwa zaidi ni ya Baba Wa Taifa. Lakini haijaigawa Nchi hata kwa asilimia 5 ya mgawanyo uliosababishwa na awamu iliyopita. Wala hatutapata majibu kama Hawa waliopo wamepatia au la mpaka awamu hii iishe. Lakini kwa vyovyote vile, tunaonekana kuwa kwenye njia Bora na salama zaidi kuliko mwanzo.
Asante kwa ufafanuzi murua.
 
Kwani mmesahau akina Musiba, Makonda na Hapi walivyokuwa wanatusi watu: Bora hata chawa hawapotezi watu bali wananyonya damu tu na hata hufii!
Hata kama wananyonya kidogo napasi nguo wateketee.
 
Back
Top Bottom