Kichangiri
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 331
- 675
Wala hutohitaji gari la kukodi zaidi ya kuwaandalia mpunga2 abiria wa mwisho wa gariMimi kwenye daladala nakumbuka siku hiyo nilitoka town Arusha naenda morombo kula nyama. Dah sijui ndoa ndani ya daladala itawezekana au laa[emoji23]
Humu jfMimi kwenye daladala nakumbuka siku hiyo nilitoka town Arusha naenda morombo kula nyama. Dah sijui ndoa ndani ya daladala itawezekana au laa[emoji23]