Je, ile ilipaswa kuwa ni Red Card au Yellow Card?

Je, ile ilipaswa kuwa ni Red Card au Yellow Card?

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Katiba mchezo wa leo, beki wa Simba aliepwea kadi ya njano alistahili kadi ya njano au kadi nyekundu?

Tujadili kwa uwazi na objectively ila hata kesho tuwe na uwezo wa kuhoji pale timu pinzani ikinufaika au kuathiruka na maamuzi kama ya leo.
 
Katiba mchezo wa leo, beki wa Simba aliepwea kadi ya njano alistahili kadi ya njano au kadi nyekundu?

Tujadili kwa uwazi na objectively ila hata kesho tuwe na uwezo wa kuhoji pale timu pinzani ikinufaika au kuathiruka na maamuzi kama ya leo.
Ubaya ubwela
 
Katiba mchezo wa leo, beki wa Simba aliepwea kadi ya njano alistahili kadi ya njano au kadi nyekundu?

Tujadili kwa uwazi na objectively ila hata kesho tuwe na uwezo wa kuhoji pale timu pinzani ikinufaika au kuathiruka na maamuzi kama ya leo.

Weka kwanza maana ya haya maneno; katiba,aliepwea,na kuathiruka..ili tuweze kujadili kwa uwazi zaidi
 
Chem m
alone alistahili Red Card kwakua alikua wa mwisho.
Uko shirikisho ni kama Ndondo cup , ata Ule mkono Chem alone ange ung'oa asingepewa red card.
Ni mashindano ya hovyo na marefa wa hovyo.
Refa kapewa pakacha la Nazi mdondo na Kolekole mkubwa.
Akirudi Madagascar anaonekana katusua.
 
Mmebebwa.
Hivi nyie timu mnaelemewa tu mmetepeta mnaombea mpira uishe, hata mimi ningekuwa refa naongeza dk nyingine 45,chezeni mpira mbuni nyie si ndio mlichokifuata.Kubebwa nikama refa katoa kadi nyekundu bila sababu ya msingi kuwapunguzia ushindani au kuwapa Wapinzani wenu penati bila sababu inayojitosheleza,au mnafunga magoli yanakataliwa n.k.Kinyume cha hapo chezeni mpira.
 
Hivi nyie timu mnaelemewa tu mmetepeta mnaombea mpira uishe, hata mimi ningekuwa refa naongeza dk nyingine 45,chezeni mpira mbuni nyie si ndio mlichokifuata.Kubebwa nikama refa katoa kadi nyekundu bila sababu ya msingi kuwapunguzia ushindani au kuwapa Wapinzani wenu penati bila sababu inayojitosheleza,au mnafunga magoli yanakataliwa n.k.Kinyume cha hapo chezeni mpira.
Hata kadi nyekundu beki wenu hakupewa.
 
Hawa wajinga wa nyuma mwiko ndiyo maana wamebondwa huko Lubumbashi, wangwavunja viuno kabisa.
 
Back
Top Bottom