Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Nyuma mwiko tubadilishane watuache point 1 Yao huku champion nasi tuwape point 6 zetu confederation tuipambanie bendera ya taifa kwenye hatua inayofuata na tutaboa kwa mechi zilizobakiUkishajadili point utachukua wewe?
Mmebebwa.Ukishajadili point utachukua wewe?
Kasongo weweeeeeeMmebebwa.
Mmebebwa.Kasongo weweeeeee
Ubaya ubwelaKatiba mchezo wa leo, beki wa Simba aliepwea kadi ya njano alistahili kadi ya njano au kadi nyekundu?
Tujadili kwa uwazi na objectively ila hata kesho tuwe na uwezo wa kuhoji pale timu pinzani ikinufaika au kuathiruka na maamuzi kama ya leo.
Uzuri na point tukabeba...Mmebebwa.
Katiba mchezo wa leo, beki wa Simba aliepwea kadi ya njano alistahili kadi ya njano au kadi nyekundu?
Tujadili kwa uwazi na objectively ila hata kesho tuwe na uwezo wa kuhoji pale timu pinzani ikinufaika au kuathiruka na maamuzi kama ya leo.
Mkawa nafasi ya NgapiUzuri na point tukabeba...
Full mbebano
Kaangalie page ya cafMkawa nafasi ya Ngapi
Hivi nyie timu mnaelemewa tu mmetepeta mnaombea mpira uishe, hata mimi ningekuwa refa naongeza dk nyingine 45,chezeni mpira mbuni nyie si ndio mlichokifuata.Kubebwa nikama refa katoa kadi nyekundu bila sababu ya msingi kuwapunguzia ushindani au kuwapa Wapinzani wenu penati bila sababu inayojitosheleza,au mnafunga magoli yanakataliwa n.k.Kinyume cha hapo chezeni mpira.Mmebebwa.
Hata kadi nyekundu beki wenu hakupewa.Hivi nyie timu mnaelemewa tu mmetepeta mnaombea mpira uishe, hata mimi ningekuwa refa naongeza dk nyingine 45,chezeni mpira mbuni nyie si ndio mlichokifuata.Kubebwa nikama refa katoa kadi nyekundu bila sababu ya msingi kuwapunguzia ushindani au kuwapa Wapinzani wenu penati bila sababu inayojitosheleza,au mnafunga magoli yanakataliwa n.k.Kinyume cha hapo chezeni mpira.
Wamevurugwa wanashindwa hata kuandikaWeka kwanza maana ya haya maneno; katiba,aliepwea,na kuathiruka..ili tuweze kujadili kwa uwazi zaidi