OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 4,701
- 11,920
Wewe ilikuchukua muda gani na ulikuwa unafanya biashara gani mkuu.1. Miaka 2-3 ya mwanzo ni migumu mno. Bila roho ya paka, utaacha biashara,ila ukivumilia utaanza kuiona faida.
2. Lazima uchague kuwa mtu wa Mungu kweli au uwe mshirikina, bila hivyo hutoboi.
3. Lazima uwe na usimamizi Mzuri au ujenge strong team
4. Nidhamu ni muhimu sana
Ukijitahidi kufuata hizo rules utatoboa
Sawa mkuu asante kwa ushauri.1. Miaka 2-3 ya mwanzo ni migumu mno. Bila roho ya paka, utaacha biashara,ila ukivumilia utaanza kuiona faida.
2. Lazima uchague kuwa mtu wa Mungu kweli au uwe mshirikina, bila hivyo hutoboi.
3. Lazima uwe na usimamizi Mzuri au ujenge strong team
4. Nidhamu ni muhimu sana
Ukijitahidi kufuata hizo rules utatoboa
Mimi nilichelewa kufanikiwa kibiashara sababu sikutaka kuwa mshirikina na wala sikutaka kuwa kwa Mungu, niliamini kwenye elimu yangu na mtaji. Baadae ndio nikaja kutonywa na watu.Wewe ilikuchukua muda gani na ulikuwa unafanya biashara gani mkuu
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Nakazia hiyo namba 2 mkuu1. Miaka 2-3 ya mwanzo ni migumu mno. Bila roho ya paka, utaacha biashara,ila ukivumilia utaanza kuiona faida.
2. Lazima uchague kuwa mtu wa Mungu kweli au uwe mshirikina, bila hivyo hutoboi.
3. Lazima uwe na usimamizi Mzuri au ujenge strong team
4. Nidhamu ni muhimu sana
Ukijitahidi kufuata hizo rules utatoboa
Mkuu unafanya Fx nn, naona mambo ya breakeven[emoji1][emoji1]Mimi nilichelewa kufanikiwa kibiashara sababu sikutaka kuwa mshirikina na wala sikutaka kuwa kwa Mungu, niliamini kwenye elimu yangu na mtaji. Baadae ndio nikaja kutonywa na watu.
Nimeanza ku-breakeven 2.5 years, ila miaka 3 ndio nilianza kupata faida
Mimi sikupenda kuchagua upande wa ushirikina, nikaamua kujiunga na vikundi vya maombezi, huwezi amini niliingia kwa hasira sana,maana nilishapata hasara sana.Nakazia hiyo namba 2 mkuu
Mkuu ilikua ni biashara gani hebu tusimulieMm 6 months tu nilianza kuona Mwanga
Asante kwa kunifungua machoMimi sikupenda kuchagua upande wa ushirikina, nikaamua kujiunga na vikundi vya maombezi, huwezi amini niliingia kwa hasira sana,maana nilishapata hasara sana.
Nilifunga mfungo wa masaa 12 kwa siku 30, kuna siku wakati nipo kwenye mfungo,nikaota usiku ninapambana na jitu la miraba mi4, mimi naomba na yeye anaomba kwa ishara kwa kuninyooshea mikono, baadae nikalidondosha chini, nikashtuka ndotoni. After one week ,biashara zikaanza kunyooka. Hii dunia ni zaidi ujuavyo.
Ila ukitaka kufuata kanuni hii, uwe na uhakika hutafanya madhambi Mungu anayochukia, ukifanya tu unafirisika to zero. Trust me haswa uzinzi.
Walokole wengi ni maskini sababu kubwa wanataka kufanikiwa kibiashara kupitia Mungu lakini wanafanya dhambi nyingi sirini.
Mkuu kuna siku nilitaka kuleta thread hapa ya kutaka kufahamu hili swalaMimi sikupenda kuchagua upande wa ushirikina, nikaamua kujiunga na vikundi vya maombezi, huwezi amini niliingia kwa hasira sana,maana nilishapata hasara sana.
Nilifunga mfungo wa masaa 12 kwa siku 30, kuna siku wakati nipo kwenye mfungo,nikaota usiku ninapambana na jitu la miraba mi4, mimi naomba na yeye anaomba kwa ishara kwa kuninyooshea mikono, baadae nikalidondosha chini, nikashtuka ndotoni. After one week ,biashara zikaanza kunyooka. Hii dunia ni zaidi ujuavyo.
Ila ukitaka kufuata kanuni hii, uwe na uhakika hutafanya madhambi Mungu anayochukia, ukifanya tu unafirisika to zero. Trust me haswa uzinzi.
Walokole wengi ni maskini sababu kubwa wanataka kufanikiwa kibiashara kupitia Mungu lakini wanafanya dhambi nyingi sirini.
Mkuu hiyo line yake ata mm imenitafkarisha sana natamani aiweke vizuri kwa kuiongezea nyamaMkuu kuna siku nilitaka kuleta thread hapa ya kutaka kufahamu hili swala
Hivi ni kwa nini asilimia kubwa ya watu wakishafungua biashara,kunakuwepo na dhana ya kutafuta Ushirikina????..
ni kujikinga dhidi ya maadui?
Au ili biashara istawi???
Nina imani wewe si mtaalamu,ila naomba unidokezee kdg unayofahamu kuhusu haya.
“Trust me haswa uzinzi”..Na jee vipi hapa mkuu hili suala huwa linamaliza vipi nguvu ya mtu?
Ahsante.
sanaa mkuuMkuu hiyo line yake ata mm imenitafkarisha sana natamani aiweke vizuri kwa kuiongezea nyama
Mathayo 4:8-9, shetani akamchukua Yesu Akamuonyesha milki zote za ulimwengu na fahari zake.
Maana yake:
1.Milki inamaana ardhi, madini, majumba etc
2.Fahari inamaana vyeo,heshima, etc.(ndio maana sikushangaa kumsikia mbunge Msukuma akitamka bungeni kwamba 99% walienda kwa waganga ili kuwa wabunge,sababu vyeo vinatolewa na shetani au Mungu.)
Lakini kwa condition moja tu Yesu amuangukie na kumsujudu.
Hapa biblia inatupa siri kumbe kuna vitu shetani anavimiliki hapa duniani na huwezi kuvipata mpaka u-mfanye Mungu wako(ndio maana ya kumuangukia na kimsujudia).
Kiufupi hapa duniani Sisi wanadamu tuna-lease tu hizi assets, lakini wenye assets ni Mungu na Shetani.mpaka ufuate masharti yao ndio wakupe.
Ngoja nikupe mfano mrahisi, wewe ni mfanyabiashara wa kilimo. Unaweza kuwa na mtaji,ujuzi na man power na kufanya kilimo, lakini ardhi ambayo ni msingi mkuu wa kufanya biashara yako inamilikiwa na serikali.kwahiyo inabidi uombe Kibali cha serikali ili ikukodishie ardhi na siku ukizinguana na serikali wanachukua ardhi yao na ndio kifirisika kwakoView attachment 1666411
Ukitaka kufanikiwa kwa njia za ki-Mungu ufuate kanuni zifuatazo.Mkuu kuna siku nilitaka kuleta thread hapa ya kutaka kufahamu hili swala
Hivi ni kwa nini asilimia kubwa ya watu wakishafungua biashara,kunakuwepo na dhana ya kutafuta Ushirikina????..
ni kujikinga dhidi ya maadui?
Au ili biashara istawi???
Nina imani wewe si mtaalamu,ila naomba unidokezee kdg unayofahamu kuhusu haya.
“Trust me haswa uzinzi”..Na jee vipi hapa mkuu hili suala huwa linamaliza vipi nguvu ya mtu?
Ahsante.
Yote 9 hapa "Ila ukitaka kufuata kanuni hii, uwe na uhakika hutafanya madhambi Mungu anayochukia, ukifanya tu unafirisika to zero. Trust me haswa uzinzi." PanachangamotoMimi sikupenda kuchagua upande wa ushirikina, nikaamua kujiunga na vikundi vya maombezi, huwezi amini niliingia kwa hasira sana,maana nilishapata hasara sana.
Nilifunga mfungo wa masaa 12 kwa siku 30, kuna siku wakati nipo kwenye mfungo,nikaota usiku ninapambana na jitu la miraba mi4, mimi naomba na yeye anaomba kwa ishara kwa kuninyooshea mikono, baadae nikalidondosha chini, nikashtuka ndotoni. After one week ,biashara zikaanza kunyooka. Hii dunia ni zaidi ujuavyo.
Ila ukitaka kufuata kanuni hii, uwe na uhakika hutafanya madhambi Mungu anayochukia, ukifanya tu unafirisika to zero. Trust me haswa uzinzi.
Walokole wengi ni maskini sababu kubwa wanataka kufanikiwa kibiashara kupitia Mungu lakini wanafanya dhambi nyingi sirini.