Je inafaa mtaji wa sh. ngapi kufungua biashara ya phone accessories?

Je inafaa mtaji wa sh. ngapi kufungua biashara ya phone accessories?

Azoge Ze Blind Baga

JF-Expert Member
Joined
Mar 8, 2019
Posts
442
Reaction score
1,655
Wakuu nahitaji ushauri.

Ni muda mrefu nina ndoto ya kufungua biashara ya vifaa vya simu.

Ila changamoto nakosa mtaji na sijajua kiasi gani kinaweza kufaa kuanzisha hii biashara. So wajuzi wa mambo naomba mnipe ABC kuhusu mtaji unaofaa na maeneo yanayofaa zaidi kwa biashara hii.

Nataka kuuza kwa rejareja

Napatikana Mwanza wilaya ya Ilemela.
 
Anzia angalau na TSH 700,000 Mkuu hii iwe ya mzigo tu,utakuwa ume gusa kila mahali,

Covers -Sumsung,Techno,Infinix
Protector
Chargers aina zote na Brand zake
USB Cables
EARPHONES & Headphones
OTGs
HDMI Cables
Battery za Viswaswadu
Memory Card
Flash

Asante
Pisi moja moja?
 
Anzia angalau na TSH 700,000 Mkuu hii iwe ya mzigo tu,utakuwa ume gusa kila mahali,

Covers -Sumsung,Techno,Infinix
Protector
Chargers aina zote na Brand zake
USB Cables
EARPHONES & Headphones
OTGs
HDMI Cables
Battery za Viswaswadu
Memory Card
Flash

Asante
Naomba uniambie juu ya haya,yaani nipe bei za chimbo maana nataka kulinganisha jambo

Oraimo type c charger
Oraimo smart charger
 
Mimi kupitia huu uzi naomba kujuzwa jambo
Kuna siku niliwatafuta oraimo kupitia online official account yao ili kujua namna nitaweza chukua mzigo kwao ili niweze na mimi kuuza kwa bei za pale kkoo(bei za mazoez)
Lakin nilichokutana nacho kilikua kigumu hata kukielewa
Yaan bei ambayo nilikutana nayo nikaona ni bora nirudi tu kkoo,yaan inanipa ganchi ya 300-1000 kama nitauza kwa bei kama za pale kkoo.So nikaona hakuna namna ya kusurvive maana nilikua nataka nijitafute nianze ku level up
Sasa nahitaji mtu anifumbue hapaaa
Yale maduka ya kkoo ambayo sio ya brand ya oraimo kabisa,yan sio agents wa brand hiyo tu,huwa wanauza accessories za kampuni zingine pia,huwa wanapata vipi mizigo yao hasa ya hiz oraimo kama hawaend wala kuagiza from china?
Najua kuna mambo mengine wataalamu huwa hawayamwagi uraian hiv,dm iko wazi kama utaona huwezi kuweka hpa upenuni
natanguliza shukran za dhat kabisa kwa atakayechangia hapa🙏🙏🙏🙏
 
Kama ni bidhaa za Oraimo pambana ukutane nao wenyewe,Kariakoo pale wengi ni Distributors
Wenyewe si ndio hao niliwapigia simu kupitia webyao official na wakanipa bei ambazo kama nitauza kwa bei ya kkoo napata faida ya 300 kwa kila pisi sasa nikaona kama ni faida ndogo sana,maana nilitegemea mayb kwa kila pc nitapata 1500-3000
Au ni mimi ndio mgen sana kwenye hii game?
 
Wenyewe si ndio hao niliwapigia simu kupitia webyao official na wakanipa bei ambazo kama nitauza kwa bei ya kkoo napata faida ya 300 kwa kila pisi sasa nikaona kama ni faida ndogo sana,maana nilitegemea mayb kwa kila pc nitapata 1500-3000
Au ni mimi ndio mgen sana kwenye hii game?
Plan yako ni kuwa una uza jumla au Reja reja?
 
Wenyewe si ndio hao niliwapigia simu kupitia webyao official na wakanipa bei ambazo kama nitauza kwa bei ya kkoo napata faida ya 300 kwa kila pisi sasa nikaona kama ni faida ndogo sana,maana nilitegemea mayb kwa kila pc nitapata 1500-3000
Au ni mimi ndio mgen sana kwenye hii game?
Biashara ina mambo mengi sana mkuu ,wengine hiyo hiyo wanachukua na utawaona TAO wana Push Range Autobiography na Kujenga Ghorofa Mbweni JKT.
 
Kama ni jumla usi tegemee faida kubwa kwenye bidhaa,

kinacho angaliwa ni mzunguko wa mzigo,

kuna vifaa vya simu vingine faida yake ni TSH 100,

So ukiweka bei kubwa tegemea kukimbiwa na wateja,

KKOO ni sehemu ambayo taarifa ya bei za bidhaa zina sambaa kwa uharaka sana,so upinzani ni mkali sana
 
Kama ni jumla usi tegemee faida kubwa kwenye bidhaa,

kinacho angaliwa ni mzunguko wa mzigo,

kuna vifaa vya simu vingine faida yake ni TSH 100,

So ukiweka bei kubwa tegemea kukimbiwa na wateja,

KKOO ni sehemu ambayo taarifa ya bei za bidhaa zina sambaa kwa uharaka sana,so upinzani ni mkali sana
Thanks,nimekuelewa boss
Kwa hiyo inahitaji kuwa na mtaji mkubwa sana ili kutengeneza faida,yan mfanyakazi akikupiga accessories moja,ili kufidia inabid uuze zingine kama 10 hiv
 
Back
Top Bottom