Je inaruhusiwa kisheria kurebrand product na kuiuza tena

Je inaruhusiwa kisheria kurebrand product na kuiuza tena

Hardman

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2011
Posts
748
Reaction score
524
Habari zenu waungwana,

Kama kichwa cha habari kinavojieleza, je ni ruhusa kisheria kufanya repackaging and rebranding ya product na kuuza upya. Mfano, ninunue sukari za kilo 50 alafu nizifungashe kwenye uzito wa gram 100 kisha niiuze kama brand nyingine. Napenda kujua sheria za biashara zinasemaje kwenye ishu kama hiyo.
 
Habari zenu waungwana,

Kama kichwa cha habari kinavojieleza, je ni ruhusa kisheria kufanya repackaging and rebranding ya product na kuuza upya. Mfano, ninunue sukari za kilo 50 alafu nizifungashe kwenye uzito wa gram 100 kisha niiuze kama brand nyingine. Napenda kujua sheria za biashara zinasemaje kwenye ishu kama hiyo.
Ndio
 
Sidhani kama kuna mtu atakuwa anadhani sukari yako ni wewe Mafichoni Cuisine ndio umeitengeneza..., anyway kwenye maelezo pamoja na mengine unaweza kusema repackaged by.......; Ingawa haya mambo sio black or white unaweza kufanya kitu na matokeo yake ikategemea na utakavyoshitakiwa..., mfano usiposema repackaged by na ukajifanya ni yako mtumiaji anaweza kusema umemu mislead
 
Sidhani kama kuna mtu atakuwa anadhani sukari yako ni wewe Mafichoni Cuisine ndio umeitengeneza..., anyway kwenye maelezo pamoja na mengine unaweza kusema repackaged by.......; Ingawa haya mambo sio black or white unaweza kufanya kitu na matokeo yake ikategemea na utakavyoshitakiwa..., mfano usiposema repackaged by na ukajifanya ni yako mtumiaji anaweza kusema umemu mislead
Hiyo ya kumpotosha mtu inaepukika, kwa sababu lengo sio kubadilisha product ..ni vifungashio tu ndo unabadilisha
 
Habari zenu waungwana,

Kama kichwa cha habari kinavojieleza, je ni ruhusa kisheria kufanya repackaging and rebranding ya product na kuuza upya. Mfano, ninunue sukari za kilo 50 alafu nizifungashe kwenye uzito wa gram 100 kisha niiuze kama brand nyingine. Napenda kujua sheria za biashara zinasemaje kwenye ishu kama hiyo.
Kuna cha kujifunza kwenye hii video:
 
Hiyo ya kumpotosha mtu inaepukika, kwa sababu lengo sio kubadilisha product ..ni vifungashio tu ndo unabadilisha
Ndio maana kuna kitu kinaitwa proper labelling..., kibongo bongo wala sio issue sababu hata mtu akikuanzishia kesi hauna pesa za kumlipa unless wewe ni Mo au Azam..., Ukisema manufactured by Angels in Heaven hata mimi mtumiaji naweza nikakushitaki kwamba una mislead..., ila ukisema repackaged by wewe mwenyewe, hio mbona inajieleza...

Mfano sasa hivi watu walikuwa forced kwenye bidhaa kama sigara waandike kabisa kwamba Cigaratte Smoking is Dangerous for your Healthy wakati zamani walikuwa wanaweza hata kusema inakuongezea libido...

In short kibongo bongo anything goes hata ukivunja sheria unless you are very big no one bothers
 
Ndio maana kuna kitu kinaitwa proper labelling..., kibongo bongo wala sio issue sababu hata mtu akikuanzishia kesi hauna pesa za kumlipa unless wewe ni Mo au Azam..., Ukisema manufactured by Angels in Heaven hata mimi mtumiaji naweza nikakushitaki kwamba una mislead..., ila ukisema repackaged by wewe mwenyewe, hio mbona inajieleza...

Mfano sasa hivi watu walikuwa forced kwenye bidhaa kama sigara waandike kabisa kwamba Cigaratte Smoking is Dangerous for your Healthy wakati zamani walikuwa wanaweza hata kusema inakuongezea libido...

In short kibongo bongo anything goes hata ukivunja sheria unless you are very big no one bothers
Insight nzuri, nasubiri mtu agusie intellectual property rights
 
Insight nzuri, nasubiri mtu agusie intellectual property rights
Tena achana na legality ya property rights kwenye chakula kuna mambo ya food healthy and safety wewe leo ukianza kuchukua Coca Cola au mikate ya Mr Bread na kuigawa katika slices mbili mbili na kuuza anaweza akaja Bwana Afya akakuuliza kama sehemu yako inakidhi vigezo vya food processing...

In short kama nilivyosema kibongo bongo sio issue vitu vingi vinakwenda tu bila shida...., Nilikuwepo sehemu moja UK, Restaraunt ilikuwa ikibakiza vyakula inatupa..., nikauliza kwanini wasiwape Homeless na the Needy..., Yule Chef akaniambia wanaogopa kuwa sued kwamba wamesababisha food poisoning....
 
Mkuu yazingatie sana haya usije ukaruhusu watu wakakuingiza cha kike.

1. Intellectual property rights
2. Trademark law.

Hivyo vitu viwili ndivyo vitakupa maamuzi ya hiyo bidhaa husika ama huduma yako. Sana sana Fanya tafiti kwenye TRADEMARK LAW. Kama bidhaa inalindwa na hiyo sheria usifanye hilo kosa bila ruhusa ya wahusika wanaweza kukushtaki.

Kwa Tanzania kampuni nyingi ni kama hazijali hivi ila angalia na kampuni husika ambayo ndiyo brand mama ya hiyo bidhaa, ukijiridhisha Fanya ila kama ukiona ina mkanganyiko kaa nayo mbali.

Mtu ambaye anaweza kufanya rebranding muda wowote ni mmiliki halali wa hiyo bidhaa husika na lengo mara nyingi huwa ni kuwaoutshine competitors.

In local ways sio shida unaweza Fanya ila kama una plan za kwenda nayo mbali ni vyema ujipe uhakika ili kujua calculated risky.
 
Mkuu yazingatie sana haya usije ukaruhusu watu wakakuingiza cha kike.

1. Intellectual property rights
2. Trademark law.

Hivyo vitu viwili ndivyo vitakupa maamuzi ya hiyo bidhaa husika ama huduma yako. Sana sana Fanya tafiti kwenye TRADEMARK LAW. Kama bidhaa inalindwa na hiyo sheria usifanye hilo kosa bila ruhusa ya wahusika wanaweza kukushtaki.

Kwa Tanzania kampuni nyingi ni kama hazijali hivi ila angalia na kampuni husika ambayo ndiyo brand mama ya hiyo bidhaa, ukijiridhisha Fanya ila kama ukiona ina mkanganyiko kaa nayo mbali.

Mtu ambaye anaweza kufanya rebranding muda wowote ni mmiliki halali wa hiyo bidhaa husika na lengo mara nyingi huwa ni kuwaoutshine competitors.

In local ways sio shida unaweza Fanya ila kama una plan za kwenda nayo mbali ni vyema ujipe uhakika ili kujua calculated risky.
Naomba kujua intellectual property rights inaishia wapi, je nikishauziwa bidhaa ninaweza kuitumia nipedavyo? Ikiwemo kuifunga kwenye vipakti vidogo zaidi na kuziuza upya kwa wateja wengine
 
Naomba kujua intellectual property rights inaishia wapi, je nikishauziwa bidhaa ninaweza kuitumia nipedavyo? Ikiwemo kuifunga kwenye vipakti vidogo zaidi na kuziuza upya kwa wateja wengine
Wewe kwa urahisi achana na technicality za sheria mtu mwenye pesa na kama wewe una pesa pia anaweza akakushitaki kwa vitu vya ajabu ajabu akakupotezea muda..., kama muuzaji unamjua wasiliana naye na mueleweshe kwamba kwa soko lako inahitaji kupackage upya kwa pcs ndogo ndogo..., pia na yeye kama ni processor / package bidhaa kwanini usinunue kule anaponunua yeye ?

Na hilo soko lako ni wapi kama ni Bongo kitaa unaweza kuingia gharama kubwa kumbe mteja wako anajali price na sio complications zinazoweza kuongeza bei... Vilevile ni bora ku package na kuita mzigo mafichoni brand kuliko kupackage na kuita mzigo kitu ambacho sicho....; Sababu hapo unakuwa haujadanganya

 
Naomba kujua intellectual property rights inaishia wapi, je nikishauziwa bidhaa ninaweza kuitumia nipedavyo? Ikiwemo kuifunga kwenye vipakti vidogo zaidi na kuziuza upya kwa wateja wengine
HAKI MILIKI kwa kiswahili, hii ndiyo inampa uhalali wa umiliki mmiliki wa bidhaa husika ama huduma husika.

Sasa kuhusu mipaka yake ni kwenda sawa na sheria zake tu na kanuni basi ili kulinda interest za mmiliki na kulinda chapa ( brand), image ( mwonekano) na thamani ya bidhaa ama taasisi yake (Reputation).

Kuhusu matumizi.
Bidhaa ukiinunua kisheria ni ya kwako na unaweza kuifanya chochote utakacho kama kuuza, kuichoma, kugawa n.k kwa sababu hayo hayahusiani lolote na kuipa challenge brand husika hivyo unaweza ukaigawa na kuuza vizuri tu kwa sababu kuna Selling price na market price ila;

Kwenye Rebranding ndo uangalie sana kwa sababu ulisema utakuja na brand yako wewe ( Labda kama sikukuelewa vizuri), tatizo lipo hapa. Hapo unakuwa unatumia bidhaa ya mtu mwingine bila idhini yake kwa kuipa brand name yako ( hili kisheria ni kosa). Kwenye ulimwengu wa biashara kuna vitu vinaitwa FRANCHISING & LICENCING ndivyo huwa vinatumika kufanya unacho kitaka wewe. Angalia KFC na COCA-COLA wanavyo operate.

To cut a story short ni kwamba wewe kuzikata na kuuza sio shida, tatizo linakuja wewe kutaka kuja na brand yako kwenye bidhaa ya mtu mwingine. Unahisi mhusika akijua itakuaje?

Incase una imani kwamba hawawezi kujua nenda nayo ila ujue ni kosa tena kubwa Incase ukadakwa.
 
Wewe kwa urahisi achana na technicality za sheria mtu mwenye pesa na kama wewe una pesa pia anaweza akakushitaki kwa vitu vya ajabu ajabu akakupotezea muda..., kama muuzaji unamjua wasiliana naye na mueleweshe kwamba kwa soko lako inahitaji kupackage upya kwa pcs ndogo ndogo..., pia na yeye kama ni processor / package bidhaa kwanini usinunue kule anaponunua yeye ?

Na hilo soko lako ni wapi kama ni Bongo kitaa unaweza kuingia gharama kubwa kumbe mteja wako anajali price na sio complications zinazoweza kuongeza bei... Vilevile ni bora ku package na kuita mzigo mafichoni brand kuliko kupackage na kuita mzigo kitu ambacho sicho....; Sababu hapo unakuwa haujadanganya

Ushauri mzuri ✅
 
Back
Top Bottom