Tafakari yetu
JF-Expert Member
- Apr 19, 2021
- 1,505
- 4,427
Habari za muda huu,
Swali langu ni mahususi kwa nafasi ya uspika lakini pia linaweza kujibiwa kwa nafasi nyingine ambazo mchakato wake wa uteuzi wa wagombea unaanza kwa kuchukua fomu kwa vyama husika. Swali ni:
Je, ikitokea wote waliochukua fomu ya kuwania nafasi fulani hawana sifa kamili zinazotakiwa kwa mustakabli wa nchi yetu na wenye sifa hawakuchukua, je katika hali hiyo mchakato ukoje?
Je, hakuna utaratibu mwingine wa system kuchuja wenye sifa hata hawajachukua fomu?
Swali langu ni mahususi kwa nafasi ya uspika lakini pia linaweza kujibiwa kwa nafasi nyingine ambazo mchakato wake wa uteuzi wa wagombea unaanza kwa kuchukua fomu kwa vyama husika. Swali ni:
Je, ikitokea wote waliochukua fomu ya kuwania nafasi fulani hawana sifa kamili zinazotakiwa kwa mustakabli wa nchi yetu na wenye sifa hawakuchukua, je katika hali hiyo mchakato ukoje?
Je, hakuna utaratibu mwingine wa system kuchuja wenye sifa hata hawajachukua fomu?