Je, inawezakana kumuabudu Mungu pasipo kuwa na mahusiano(affiliation) yoyote na madhehebu ya kidini?

Je, inawezakana kumuabudu Mungu pasipo kuwa na mahusiano(affiliation) yoyote na madhehebu ya kidini?

Unaelewa maana ya ubatizo? Muumini anabatizwa katika Kristu (baptized into Christ) - His body, His church; ^you are the body of Christ and individual members of it.^ 1Cor 12:13, 27

Ukisema Agano la Kale hakukuwa na kanisa unakosea kukubwa kwa vile Adamu na Hawa ndilo kanisa la kwanza. Nyumba ya Nuhu ilikuwa kanisa la Mungu. Nyumba ya Ibrahimu pia. Kisha Isaka, Yakobo na wana wa Israeli.

-The eye cannot say to the hand, I have no need of you, nor again the head to the feet, I have no need of you (1Cor 12:21).

-But God has so composed the body, giving greater honor to the part that lacked it, that there may be no division in the body, but that the members may have the same care for one another. If one member suffers, all suffer together, if one member is honored, all rejoice together. (1Cor 12:24-26).

-There is one body and one Spirit - just as you were called to the one hope that belongs to your call - one Lord, one faith, one baptism, one God and Father of all (Ephesians 4:4-6).

-For no one ever hated his own flesh, but nourishes and cherishes it, just as Christ does the church, because we are members of His body. Therefore a man shall leave his father and mother and hold fast to his wife, and the two shall become one flesh. This mystery is profound, and I am saying that it refers to Christ and the church. (Ephesians 5:29-32)
Tofautisha uhusiano wa mungu na wanadamu ambayo ni imani na kutaniko la watu kuanzia wawili kwa nia ya kumwabudu mungu yaani kanisa.
Tambua katika uumbaji mungu alikusudia uwepo wa ushirika wa watu kuanzia 2 (adam na eva) ili kumwabudu mungu nachozungumzia ni imani. Na kwa mujibu wa mtoa mana je pasipo dini (jumuhia yenye utaratibu wa imani na tamaduni) jd kuna wezekana kumwabudu mungu?
Swali: kwakuwa kanisa n kutaniko la kuanzia watu wawili wenye nia ya kumwabudu mungu, je kabla ya kuumwa kwa eva manake hakukuwa na kanisa je adamu hakuwa na uhusiano na mungu (imani)?
 
Hivi mkuu dini ni nini? Na una maoni gani kuhusu hoja ya kutenganisha dini na Mungu?
Umeuliza Maswali mawili Na nitayajibu!
Japo maswali yako yanaweza Kuonekana machache iola majibu yake yanaweza Kuchukua Kitabu Kizima Chenye Kurasa 800 au 1600 na Kituk 😀😀

Tafsiri Sahihi ya Neno Dini!
Neno Dini limetoka na Neno la Kiarabu الدين (ad-dīn),
Lenye maana Ya Mfumo mzima Wa Maisha...
Yaani Daily Routine kwa Kingereza..

Kwa tafsiri ya Kiswahili ningesema Jinsi Unavyoamka Asubuhi Vitu unavyofanya Mpaka Unavyolala Tena Usiku..
Yaani unaishije unajumuila Vipi na Watu unafanya nini..
Na ndo maana Katika Uislamu Wanaamini Kuwa Kila Kitu ni Ibada kuanzia Unavyoamka mpaka Unavyolala..

Sasa Kwa Muktadha Mwingine Dini Hutafsiriwa Kama Njia (Kwa lugha hiyo hiyo ya Kiarabu) yaani Njia nikimaanisha Hatua Zote utakazochukua Ili Kufikia Lengo fulani Huitwa Din..

Kwa mfano Ili niweze Kufaulu Chuo nahitaji kufanya Njia Fulani Ili niweze kupata Bachelor Degree au Master Degree au Doctorate Degree..

Sijui Kama Nimeeleweka hapo..?

Swali la Pili Nina Maoni Gani ya Kutenganisha Dini na Mungu...

Kwa Mfano!

Kwa Wayahudi, Wakristo,na waislamu (Ibrahimic Religion)

Huamini Kuwa Musa Ndiyo njia Sahihi ya Kufika Kwa Mungu Na wao Huzichambua Sheria za Musa Na torati kwakuwa wanaamini Ndizo walizoachiwa na Mungu kupitia Musa na Yoyote atakayezipinga kwao humuona Mkosaji Haswaa na Kafiri..

Wakristo wao Huamini Kuwa Yesu Kristo Ndiyo Njia sahihi ya Kufika Kwa Mungu na wao Mtu yoyote asiyefata Mafundisho ya yesu humuona kama Kapotea..

Kama Yohana 16:4 inavyosema..
Screenshot_20250128_100325_Biblia Takatifu.jpg

Lakini Yesu Pia aliwahi Kufafanua Mwenyewe Kuhusu Nini maana Ya Uzima Wa Milele ambayo na yenyewe inafanana sana Na Ila Kalima Shahaadat au Ushahidi wa Imani wa Waislamu..
Ambao ukisoma Kwenye Biblia Yesu badala ya Kuuita Ushahidi wa Imani au Shahada ametumia Neno Uzima Wa Milele..

Tito 1:2
"katika tumaini la uzima wa milele, ambao Mungu asiyeweza kusema uongo aliuahidi tangu milele;"
Au kama Yeye mwenyewe AlivyoUtafasiri.. Yohana 17:3


Screenshot_20250128_100941_Biblia Takatifu.jpg


Ukiangalia Kauli Hiyo Utaona Ina pande Mbili..
Pande ya Kwanza ..
  • Kumjua Mungu Mmoja na wa Pekee na wa kweli
Kauli hii Uliifatilia Utagundua inafanana na Kauli Iliyowahi kusemwa na Musa Pia kauli Hii Hutumika kama Tamko la kiimani la Kiyahudi, wao Wanaita Shema Yisrael (שְׁמַע יִשְׂרָאֵל)..
Au kwa Urefu "Shema Yisrael, Adonai Eloheinu, Adonai Echad"
Ambayo Tafsiri yake ni "Sikia, Ee Israeli: Bwana Mungu wetu, Bwana ni Mmoja."

lakini Kauli Hiyo Pia Unaweza Kuipata Kwenye Dini ya Kiislamu kama nilivyosema Awali kwenye Kalima shahaadat ya Kwanza ambayo ni tamko la Tawhud kwa wale waislam ambalo ni La ilaha illallah (لَا إِلَٰهَ إِلَّا ٱللَّٰهُ).. yaani "Hakuna mungu apaswaye Kuabudiwa ila Allah."

  • Yesu kristo Uliyemtuma
Kauli hii Inamuonyesha Yesu kama Njia ya kufika kwa HuYo Mungu mmoja Kwa sababu yeye ndiyo aliyetumwa ns Huyo Mungu iko sahihi kabisa na Inamfanano kabisa na Kauli ya Kalma shaahadat ya Pili..

Muhammadur Rasulullah (مُحَمَّدٌ رَسُولُ ٱللَّٰهِ) ambayo inamaanisha:
"Muhammad ni Mtume wa Allah." Au "Muhamad Aliyetumwa na Allah"

Sasa Kwa Kauli hizo mbili Maana yake ni Ipi sasa Ni kwamba Waislam wanaamini Ili Kuweza Kufika kwa Mungu Lazima Upitie njia ya Mtume Muhamad kwani yeye ndiye aliyetumwa na Mungu na Yesu alitumwa Pia Ila kwa zama tofauti..

Na Wakristo wanaamini Kuwa Yesu ni Mkombozi aliyetumwa na Mungu Kuja Kukomboa Taifa kutokana na Dhambi zao..

Vipi Kuhusu Wahindu na Bhagavad Gita
Ukisoma Kweny kitabu Kitakatifu cha wahindu Bhagavad gita:.. (Chapter 9 verses 18)
krishna akimwambia Arjun krishna alitamka kuwa yeye Ndiyo Njia ya Kweli na Uzima maneno yaliyosemwa Na yesu Miaka kadhaa Baadae..

"I am the way, the life ,the sustainer,the Lord ,the witness,the abode, the refuge and the most intimate friend. I am the creation and the dissolution, the basis of everything, the resting place and the eternal seed.."

(Mimi ni ni Njia,uzima, Muongozaji,Bwana,Shahidi, Mnyenyekevu, Mwokozi,na Rafiki wa karibu,Mimi ni Uumbaji,na Uharibifu,mimi ni Mwanzo wa kila kitu , Sehemu ya Pumziko na Mbegu (Chachu) ya milele.)


Unaweza Ukaona Tz mbongo hali Inavyochanganya Kwahyo Who to trust Ikiwa Kila Mmoja anaushahidi wa Ayafanyayo na kumuona Mwenzake Hafai?

sasa ili kutengenisha Dini na Mungu unatakiwa Kutumia Hekima Kubwa sana ikiwemo Kuamini Kuwa Mungu Ni upendo kama Alivyojisema yeye Kwenye Dini zote..

Na Uchukue Intersection ya Mafundisho Ya Dini zote yaani Mambo ambayo yanafanana Kwenye Dini zote Ndo yawe Muongozo wako Na yale yanayopingana Yaweke Kando Songa Mbele..

Na Hiyo Ndiyo Dini safi..
Na Unaweza Kutenganisha Dini Na Mungu kwa Muktadha huo..

Najua unaweza ukasema Kuwa Ungejuaje Mungu bila Kujifunza Kutumia Dini sasa Itakuwaje tena Useme Dini Haziwezi..

leo hii wewe ni Engeer, Daktari, Rubani ,Mtu msomi sana..
lakini Usisahau Ulifundishwa na Mwalimu ambaye Huenda alikuwa Ni wa UPE au Alikuws ni Form four na Alisoma Course ya Ualimu baada ya Kufeli..

Je Baada ya Kukufundisha wewe Na Wewe Kuwa Daktari au Kuwa Rubani Does It make Him Proffesor? Au Does it Make Him Mwenye Elimu Kukuzidi?

hapana Itamfanya Kuwa Hero kwa kuwa Umetoka kwenye Mikono yake japo Umekuwa Mkubwa kielimu kumzidi yeye..

na ndiyo Dini ilivyo.....
dini Hutufikisha Sehemu ambayo Tunatanuka Mawazo na Kujua Vingi Ila baada ya Kujua Vitu hivyo dini Haiwezi kuwa Kubwa Kuliko mawazo yetu sisi..

so Dini Na Kumjua Mungu na Dini na Mungu ni Vitu viwili Tofauti

CC; Aaliyyah
 
Umeuliza Maswali mawili Na nitayajibu!
Japo maswali yako yanaweza Kuonekana machache iola majibu yake yanaweza Kuchukua Kitabu Kizima Chenye Kurasa 800 au 1600 na Kituk 😀😀

Tafsiri Sahihi ya Neno Dini!
Neno Dini limetoka na Neno la Kiarabu الدين (ad-dīn),
Lenye maana Ya Mfumo mzima Wa Maisha...
Yaani Daily Routine kwa Kingereza..

Kwa tafsiri ya Kiswahili ningesema Jinsi Unavyoamka Asubuhi Vitu unavyofanya Mpaka Unavyolala Tena Usiku..
Yaani unaishije unajumuila Vipi na Watu unafanya nini..
Na ndo maana Katika Uislamu Wanaamini Kuwa Kila Kitu ni Ibada kuanzia Unavyoamka mpaka Unavyolala..

Sasa Kwa Muktadha Mwingine Dini Hutafsiriwa Kama Njia (Kwa lugha hiyo hiyo ya Kiarabu) yaani Njia nikimaanisha Hatua Zote utakazochukua Ili Kufikia Lengo fulani Huitwa Din..

Kwa mfano Ili niweze Kufaulu Chuo nahitaji kufanya Njia Fulani Ili niweze kupata Bachelor Degree au Master Degree au Doctorate Degree..

Sijui Kama Nimeeleweka hapo..?

Swali la Pili Nina Maoni Gani ya Kutenganisha Dini na Mungu...

Kwa Mfano!

Kwa Wayahudi, Wakristo,na waislamu (Ibrahimic Religion)

Huamini Kuwa Musa Ndiyo njia Sahihi ya Kufika Kwa Mungu Na wao Huzichambua Sheria za Musa Na torati kwakuwa wanaamini Ndizo walizoachiwa na Mungu kupitia Musa na Yoyote atakayezipinga kwao humuona Mkosaji Haswaa na Kafiri..

Huamini Kuwa Yesu Kristo Ndiyo Njia sahihi ya Kufika Kwa Mungu na wao Mtu yoyote asiyefata Mafundisho ya yesu humuona kama Kapotea..

Kama Yohana 16:4 inavyosema..
View attachment 3216297
Lakini Yesu Pia aliwahi Kufafanua Mwenyewe Kuhusu Nini maana Ya Uzima Wa Milele ambayo na yenyewe inafanana sana Na Ila Kalima Shahaadat au Ushahidi wa Imani wa Waislamu..
Ambao ukisoma Kwenye Biblia Yesu badala ya Kuuita Ushahidi wa Imani au Shahada ametumia Neno Uzima Wa Milele..

Tito 1:2
"katika tumaini la uzima wa milele, ambao Mungu asiyeweza kusema uongo aliuahidi tangu milele;"
Au kama Yeye mwenyewe AlivyoUtafasiri.. Yohana 17:3


View attachment 3216303

Ukiangalia Kauli Hiyo Utaona Ina pande Mbili..
Pande ya Kwanza ..
  • Kumjua Mungu Mmoja na wa Pekee na wa kweli
Kauli hii Uliifatilia Utagundua inafanana na Kauli Iliyowahi kusemwa na Musa Pia kauli Hii Hutumika kama Tamko la kiimani la Kiyahudi, wao Wanaita Shema Yisrael (שְׁמַע יִשְׂרָאֵל)..
Au kwa Urefu "Shema Yisrael, Adonai Eloheinu, Adonai Echad"
Ambayo Tafsiri yake ni "Sikia, Ee Israeli: Bwana Mungu wetu, Bwana ni Mmoja."

lakini Kauli Hiyo Pia Unaweza Kuipata Kwenye Dini ya Kiislamu kama nilivyosema Awali kwenye Kalima shahaadat ya Kwanza ambayo ni tamko la Tawhud kwa wale waislam ambalo ni La ilaha illallah (لَا إِلَٰهَ إِلَّا ٱللَّٰهُ).. yaani "Hakuna mungu apaswaye Kuabudiwa ila Allah."

  • Yesu kristo Uliyemtuma
Kauli hii Inamuonyesha Yesu kama Njia ya kufika kwa HuYo Mungu mmoja Kwa sababu yeye ndiyo aliyetumwa ns Huyo Mungu iko sahihi kabisa na Inamfanano kabisa na Kauli ya Kalma shaahadat ya Pili..

Muhammadur Rasulullah (مُحَمَّدٌ رَسُولُ ٱللَّٰهِ) ambayo inamaanisha:
"Muhammad ni Mtume wa Allah." Au "Muhamad Aliyetumwa na Allah"

Sasa Kwa Kauli hizo mbili Maana yake ni Ipi sasa Ni kwamba Waislam wanaamini Ili Kuweza Kufika kwa Mungu Lazima Upitie njia ya Mtume Muhamad kwani yeye ndiye aliyetumwa na Mungu na Yesu alitumwa Pia Ila kwa zama tofauti..

Na Wakristo wanaamini Kuwa Yesu ni Mkombozi aliyetumwa na Mungu Kuja Kukomboa Taifa kutokana na Dhambi zao..

Vipi Kuhusu Wahindu na Bhagavad Gita
Ukisoma Kweny kitabu Kitakatifu cha wahindu Bhagavad gita:.. (Chapter 9 verses 18)
krishna akimwambia Arjun krishna alitamka kuwa yeye Ndiyo Njia ya Kweli na Uzima maneno yaliyosemwa Na yesu Miaka kadhaa Baadae..

"I am the way, the life ,the sustainer,the Lord ,the witness,the abode, the refuge and the most intimate friend. I am the creation and the dissolution, the basis of everything, the resting place and the eternal seed.."

(Mimi ni ni Njia,uzima, Muongozaji,Bwana,Shahidi, Mnyenyekevu, Mwokozi,na Rafiki wa karibu,Mimi ni Uumbaji,na Uharibifu,mimi ni Mwanzo wa kila kitu , Sehemu ya Pumziko na Mbegu (Chachu) ya milele.)


Unaweza Ukaona Tz mbongo hali Inavyochanganya Kwahyo Who to trust Ikiwa Kila Mmoja anaushahidi wa Ayafanyayo na kumuona Mwenzake Hafai?

sasa ili kutengenisha Dini na Mungu unatakiwa Kutumia Hekima Kubwa sana ikiwemo Kuamini Kuwa Mungu Ni upendo kama Alivyojisema yeye Kwenye Dini zote..

Na Chukua Intersection Ya Dinu zote yaani Mambo ambayo yanafanana Kwenye Dini zote Ndo yawe Muongozo wako Na yale yanayopingana Yaweke Kando Songa Mbele..

Na Hiyo Ndiyo Dini safi..

CC; Aaliyyah
Shukrani sana nimeelewa Sasa
Asante Kwa ufafanuzi mzuri
Mynd177 nafikir nawe umepata mwanga
 
Mambo yanayokatazwa Kwa dini zote
1. Uongo
2. Kuuwa
3. Wizi
4. Zinaa
5. Dhuluma
6. Chuki na kutosameheana
7. Ulafi
8. Unywaji wa vileo au ulevi
9. Kujitukuza au kiburi
10. Uchawi na ushirikina
11. Kufuru
12. Kuwatendea vibaya wazazi


Matendo mema
Upendo
2. Msamaha
3. Unyenyekevu
4. Matendo ya huruma
5. Heshima kwa wazazi
6. Kutoa sadaka
7. Kuombea wengine
8. Kujitolea kusaidia wahitaji
9. Kudumisha amani
10. Kuwaheshimu wengine
11. Kuishi kwa uadilifu
12. Kumtumikia Mungu kwa dhati
Sijui kma Niko sahihi
DR Mambo Jambo
 
Mambo yanayokatazwa Kwa dini zote
1. Uongo
2. Kuuwa
3. Wizi
4. Zinaa
5. Dhuluma
6. Chuki na kutosameheana
7. Ulafi
8. Unywaji wa vileo au ulevi
9. Kujitukuza au kiburi
10. Uchawi na ushirikina
11. Kufuru
12. Kuwatendea vibaya wazazi


Matendo mema
Upendo
2. Msamaha
3. Unyenyekevu
4. Matendo ya huruma
5. Heshima kwa wazazi
6. Kutoa sadaka
7. Kuombea wengine
8. Kujitolea kusaidia wahitaji
9. Kudumisha amani
10. Kuwaheshimu wengine
11. Kuishi kwa uadilifu
12. Kumtumikia Mungu kwa dhati
Sijui kma Niko sahihi
DR Mambo Jambo
Uko Sahihi japo Kiukweli Kuna Changamoto kubwa Kati ya Mambo yanayoHotubiwa au kuonekana Kukatazwa na Mambo yanayokatazwa Exactly kwenye Vitabu vyenyewe..

Kuna Vingi ambavyo vinapishana
 
Shukrani sana nimeelewa Sasa
Asante Kwa ufafanuzi mzuri
Mynd177 nafikir nawe umepata mwanga
Ndio nimepata kuelewa..
Kwanza dini ni mfumo wa maisha...
Pili kujifunza kumuhusu Mungu, jambo ambalo naweza kufanya mwenyewe bila mafungamano na kikundi chochote cha kidini....
 
Uko Sahihi japo Kiukweli Kuna Changamoto kubwa Kati ya Mambo yanayoHotubiwa au kuonekana Kukatazwa na Mambo yanayokatazwa Exactly kwenye Vitabu vyenyewe..

Kuna Vingi ambavyo vinapishana
Changamoto ni zipi au ndo bad interpretation of scripture had nimemkumbuka Mwl wangu wa life skills 😃
 
Back
Top Bottom