Hayo ndiyo matusi yenyewe.... Nyie mlijenga kwa pesa zenu za mfukoni?Mbona lami za migombani zinakuuma Sana Mkuu? Na nyinyi Si mjenge Tu mpaka kwenye michikichi? Au migebuka na mawese ndio imegundulika awamu hii?
Watz kwa theories za kufikirika mpo juu.NAKUMBUKA YULE ALIYESEMA ANAIONA CCM KM LIMBUYU LIKUBWA FULANI. Hata mawaziri wa bongo ktk kila matukio wana matamko ya kushangaza sana na baada ya muda mfupi yanagongana mfululizo, wanaweza waje na melezo kibao, kisha wakamalizia kuwa bado issue ipo ktk uchunguzi au ipo mahakamani. Elimu haikupaswa kupewa watanzania. Mnai abuse sana.
teh teh.Pole. Chuki yako imefumba sana akili yako,otherwise ulikuwa smart sana ktk trick za kitoto. Sasa umeishia kuwa trick boy km mugabe. unaishi kwa tricks km Monkey ukiamini utakufa ukiwa umejishika juu ya mti.Tapika yote ila mmenyooshwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama kuna ukweli kwa mbaaaaliiiiiiiiWe mchaga Acha ropoka hovyo uwe na shukrani... CCM miaka nenda rudi imewabeba sana kwenu uchagani lami hadi migombani kwa miaka yote bado mkakosa shukrani.
Sisi wa kigoma hata barabara za kuunganisha mkoa tu imekua tabu kwa miaka yote 50 leo mnailaani CCM? Hovyo sana wewe.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukiwa biased unaweza on km kuna ukweli, ila hata ukirudia mara mia utaona pattern tofauti sana. Hembu muulize huyo jamaa tangu aanze jiona mtu km anavyosema alikuwa akitembelea wapi sana kipindi hayupo ktk kazi za kisiasa nje ya dar?Kama kuna ukweli kwa mbaaaaliiiiiiii
Sent using Jamii Forums mobile app
Nafurahi sana mkizaliwa wengi wenye akili km hizi.Kwa vile mtasoma kitabu kimoja na wenzenu ila hamtoelewa kwanini wenzenu wanafanya vitu kuliko nyie. Hata ukipewa uwaziri leo unaweza usiwe na sababu ya kujenga bara bara iende machame kwa Mbowe usiyempenda, ila ukawa na sababua ya kujenga barabara itakayopanda hadi gate la kilimanjaro ktk machame route. Mbaya zaidi anayekuambia ijengwe ni bank ya dunia kwa vile wao ndio watakupa mkopo, na watakupa kwa vile wanaamini kuwa ndio barabara muhimu. Sasa hapo serikali yako ihahusika nini? Kabla ya akina Aghakhan sidhani km wachache wenu walipona vibarua vya mashamba ya mawese km sio treni ya zenj kuchuma karafuu. Ungekuwa na sababua ya kukataa KCMC isipate lami, tena lami iliyofadhiliwa na wafadhili wa hiyo hospital.Hayo ndiyo matusi yenyewe.... Nyie mlijenga kwa pesa zenu za mfukoni?
Sent using Jamii Forums mobile app
Unapotafuta ukweli haikwepeki kutumia theory za kila aina.Watz kwa theories za kufikirika mpo juu.NAKUMBUKA YULE ALIYESEMA ANAIONA CCM KM LIMBUYU LIKUBWA FULANI. Hata mawaziri wa bongo ktk kila matukio wana matamko ya kushangaza sana na baada ya muda mfupi yanagongana mfululizo, wanaweza waje na melezo kibao, kisha wakamalizia kuwa bado issue ipo ktk uchunguzi au ipo mahakamani. Elimu haikupaswa kupewa watanzania. Mnai abuse sana.
Sawa wewe kashfu...kejeli.... tukana vyovyote vile ila ukweli Utabaki ukweli sisi mnaotutukana ndo tumewafundisha ustaarabu wa kuchamba.... kutahiri na hata kuvaa vizuri mjini.....Nafurahi sana mkizaliwa wengi wenye akili km hizi.Kwa vile mtasoma kitabu kimoja na wenzenu ila hamtoelewa kwanini wenzenu wanafanya vitu kuliko nyie. Hata ukipewa uwaziri leo unaweza usiwe na sababu ya kujenga bara bara iende machame kwa Mbowe usiyempenda, ila ukawa na sababua ya kujenga barabara itakayopanda hadi gate la kilimanjaro ktk machame route. Mbaya zaidi anayekuambia ijengwe ni bank ya dunia kwa vile wao ndio watakupa mkopo, na watakupa kwa vile wanaamini kuwa ndio barabara muhimu. Sasa hapo serikali yako ihahusika nini? Kabla ya akina Aghakhan sidhani km wachache wenu walipona vibarua vya mashamba ya mawese km sio treni ya zenj kuchuma karafuu. Ungekuwa na sababua ya kukataa KCMC isipate lami, tena lami iliyofadhiliwa na wafadhili wa hiyo hospital.
Akili yako haina tofauti sana na jamaa wa dubai, wamejengewa hadi 7 stars hotel kwa gharama kubwa sana ambayo imerudisha hela za wazungu walizonunulia mafuta kwa mlango wa nyuma.Ila kila holiday wafalme wao wanajazana ktk vibanda vya mbao ktk milima ya swiss eti wakila bat ana kuonyesha hela zao. km unavyosema kwamba sasa ndio unajiona mtu. Ni wazi hadi ufe, kila kitu cha kilimanjaro kitabaki kuwa km dream of your life. Christmas na Mwaka mpya ujao, anzia Dar, nenda mwanza, Arusha, Moshi angalia hoteli zote jinsi zimejaa na waliojaa ni nani halafu jiulize km serikali yako imemkomesha mtu. Sanasana mtu km wewe ukiingia hata ukjitutumua sana,utapewa heshima tuu ila utakuwa umejipendekeza na sio potential customer kihivyo.
sio utani ,km kujenga na kubomoa?Unapotafuta ukweli haikwepeki kutumia theory za kila aina.
Acha upuuzi basi, kashfa zipo wapi?Bado hadi leo una play victim tuu. Mkuu majungu ya kijinga hivi hayauziki sio kenya tuu hata bongo.Sawa wewe kashfu...kejeli.... tukana vyovyote vile ila ukweli Utabaki ukweli sisi mnaotutukana ndo tumewafundisha ustaarabu wa kuchamba.... kutahiri na hata kuvaa vizuri mjini.....
Ndo maana hata viongozi wa chama walikua too local tukawafunza leo watuona kituko kweli?
Sent using Jamii Forums mobile app
Haha. Nilitegemea ungesema kwamba NI WAKATI WOTE TUIPIKE KEKI YA TAIFA KUMBE UNAGOMBEA KULA. Mtapewa sana bure, nasi tumejifunza kwa wahindi na waarabu tunawawea sehemu ya kula, ili mrija ukiminywa tuu basi huwa njaa inawauma sana,mnapigwa gap. Kwa taarifa yako tabia zenu zinawacost watu wengi sana, hata tusiotaka kula bure.Ndugu utasema yote ila ni wakati sasa wote tule keki ya taifa kwa usawa.... Sio wengine lami ziende migombani tena kwa kodi zetu Sio hela zenu za mfukoni wengine hata kwenda kwetu tu barabara ya kuunganisha mkoa tabu.... hii si haki.... now amepatikana rais wa haki. Tunakula sawa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naona una hasira sana but ukweli Utabaki kuwa ukweli... zama za kusukumia kila mradi uende kwenu zimepita....Haha. Nilitegemea ungesema kwamba NI WAKATI WOTE TUIPIKE KEKI YA TAIFA KUMBE UNAGOMBEA KULA. Mtapewa sana bure, nasi tumejifunza kwa wahindi na waarabu tunawawea sehemu ya kula, ili mrija ukiminywa tuu basi huwa njaa inawauma sana,mnapigwa gap. Kwa taarifa yako tabia zenu zinawacost watu wengi sana, hata tusiotaka kula bure.
Ndio maana siku zote huwa nakuona ni mwanasiasa wa hovyo sana. very cheap, unapeta tricks za uruka ruka katika matawi ya miti.Ndio umesoma uchumi wewe kweli ?Umechukua vyeti ili upate ushahidi wa kujihalalishia kula tuu. We endelea payuka misamiati ili wajinga wakuene unajua ila ndani ya roho yako una kilio ulichokigeuza chuki. Kwa hiyo chuki yako ilipofikia unaumia sana ,unapoona wengine wana SMILE hata km umeshiriki kuwapora kila kitu.Suichojua ni kwamba wengine wameweka maridhiko yao ktk vitu vingine usisvyovijua. You will nver be happy, hata upewe urais, upewe mrembo wa tanzania, hata unaowachukia leo wakifa wote. Kwa ujumla you have sold your soul to the devil.
Matusi hayajengi ndugu.... sisi unaotuona hatufai ndo tumemwaga damu yetu CHADEMA leo mnakula ruzuku za bure tu.Acha upuuzi basi, kashfa zipo wapi?Bado hadi leo una play victim tuu. Mkuu majungu ya kijinga hivi hayauziki sio kenya tuu hata bongo.
Nikusaidie tuu, kesho ukiwa na muda piata uswahili kwenu unapoendaga kuchochea watu ili ukiwa ktk media wakuone super star. Waulize kwanini watu wote ambao huwa mnawaita washamba, haichukui muda kuwapita na kuanza waongoza?Its easy, they are smarter than you,but they are very careful when they deal with your malice ,they listen more than talking and when they talk ,they do it through actions. Unamwita mtu mshamba umemfundisha kuchamba, wakati hata akija kwako hayupo ktk list ya waugua kipindupindu?Unajua kwanini mikono yenu ya kushoto ni haramu sana?Mnashika san mavi, hamna sabuni,wala maji ya kunawa vyema mikono yenu, mnanajisi kila kitu mgusacho kuanzia mlango wa kutokea chooni hadi mkono mnaouita wa kulia .Unasema umewafundisha kuvaa vizuri wakati asilimia 90 yenu mnavaa jezi, mna vyoo vinanuka kuliko bar zao? Mnasema mmewafundisha ustaarabu wakati, miradi yote ya kuchangia ktk jamii wakisimama wao inafanikiwa kuliko nyie. Kutahiri hakukuanzia kwenu wala kwa hao watakatifu wenu, kulianzia kwa Abraham, na hiyo ilitembea ktk tamaduni nyingi,ila baadae haikuwa lazima ila muhimu kutokana na mazingira. Hadi sasa uvaaji mzuri ni wa kimagharibi sasa umagharibi na uswahili wapi na wapi?
Shida yenu, hamjui sana mnachokifanya, ndio maana watu hawana muda wa kupeteza nanyi ktk maneno,wanawaachia assignment kwa vitendo. Vitu ving mnavyojisifu navyo waswahili km kumkaribisha mtu, kumuonyesha mtaa ni redundant. Hivyo vyote internet simu zinafanya sasa nani ashukuru simu aliyonunua kwa hela yake?Nyie kila kitu mlilipwa. Na hizo nyumba zenu mjini kabla ya kuwashinda na kuziuza nani hajui shida zake, ndo za mikeka, vita na wapangaji kuwa kila siku unakula nyama, sijui unakuja na mchumba na sio kuchukua mabint zao, zamu za kjinga kuosha choo, kuchuguliana ndani, kelele za mapaka na chuma ulete. Dunia imeshawaacha sana nyie watu.
wewe umejibu hoja ipi sasa?CCM kila mahali ni aibu, hivi huu ujinga ambao haujaweza hata vuka dara ndio unataka upeleka international? CCM ni hovyo sana, hivi bado mnadhani ile miaka ndio hii? Mlikuwa mnatia aibu na kuwadanganya watanzania mmeonewa, mnapigwa vita kwa vile mmekataa sijui kuuza nini cha nchi ili wawapiganie na kuwapa support .Sasa hivi mkileta upuuzi mkirudi mnapewa tuu, hata mdai sijui tundu lissu sio mzalendo,sijui nini hakuja mtu wa kufuga ujinga.
Cha nini sasa? Kwani kawa nyie mnaojiona sasa ndio mnajitambua na kujiona watu. Sa sa ulimshambulia akakuacha nini kimeongezeka kwako?utakufa ukitaka jihalalisha mpaka kwa watoto uliowazaa.Naona una hasira sana but ukweli Utabaki kuwa ukweli... zama za kusukumia kila mradi uende kwenu zimepita....
Sasa ni kula kwa Jasho hasira za nini? Acha kubweka....
Naona inakuuma sana mimi kusoma mwambie mwenyekiti wako akuoneshe cheti kama anacho.
Too low!
Sent using Jamii Forums mobile app
Teh teh, damu ipi ?yako ?msaliti umemwaga?Labda ya wengine waliodhani ni mwenzao kumbe ni uzao wa zizi lignine. Sa sa unawauzia wakenya umbea na theory za underworld? Unatia huruma. Hakuna magazeti y'a kijinga kukubeba na kukupalilia. Utadandia sans hoja ila monkey tricks will never be a set of serious things. Wewe unawafaa ccm, chadema hawataki watu wasioweza fikiri wenyewe. Wewe ni kasuku, more than half thé terminologies unazorudiarudia huzijui. Nitakudaka siku moja ktk big stage utahitaji elezea vyema misamiati unayojificha ndani yake lazima ulie .Matusi hayajengi ndugu.... sisi unaotuona hatufai ndo tumemwaga damu yetu CHADEMA leo mnakula ruzuku za bure tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
D'un, na wewe unaamini unaweza okoa roho y'a vilaza wenzio? Si kila hoja ina swali au inaita majibu. Hoja inaweza pitishwa, inaweza pingwa au kurekebishwa.wewe umejibu hoja ipi sasa?
Umewaza kinyume nyume ...
Hii yote ni hasira! Big stage wapi? Mbona mmeshindwa itumia sasa hyo big stage mmebaki tangatanga kama mahayawani? Shida ni matusi na dharau vimewajaa ila ktk kupanda ngazi hamuwezi wenyewe ila kwa msaada wa mnaowatukana!Teh teh, damu ipi ?yako ?msaliti umemwaga?Labda ya wengine waliodhani ni mwenzao kumbe ni uzao wa zizi lignine. Sa sa unawauzia wakenya umbea na theory za underworld? Unatia huruma. Hakuna magazeti y'a kijinga kukubeba na kukupalilia. Utadandia sans hoja ila monkey tricks will never be a set of serious things. Wewe unawafaa ccm, chadema hawataki watu wasioweza fikiri wenyewe. Wewe ni kasuku, more than half thé terminologies unazorudiarudia huzijui. Nitakudaka siku moja ktk big stage utahitaji elezea vyema misamiati unayojificha ndani yake lazima ulie .