Acha upuuzi basi, kashfa zipo wapi?Bado hadi leo una play victim tuu. Mkuu majungu ya kijinga hivi hayauziki sio kenya tuu hata bongo.
Nikusaidie tuu, kesho ukiwa na muda piata uswahili kwenu unapoendaga kuchochea watu ili ukiwa ktk media wakuone super star. Waulize kwanini watu wote ambao huwa mnawaita washamba, haichukui muda kuwapita na kuanza waongoza?Its easy, they are smarter than you,but they are very careful when they deal with your malice ,they listen more than talking and when they talk ,they do it through actions. Unamwita mtu mshamba umemfundisha kuchamba, wakati hata akija kwako hayupo ktk list ya waugua kipindupindu?Unajua kwanini mikono yenu ya kushoto ni haramu sana?Mnashika san mavi, hamna sabuni,wala maji ya kunawa vyema mikono yenu, mnanajisi kila kitu mgusacho kuanzia mlango wa kutokea chooni hadi mkono mnaouita wa kulia .Unasema umewafundisha kuvaa vizuri wakati asilimia 90 yenu mnavaa jezi, mna vyoo vinanuka kuliko bar zao? Mnasema mmewafundisha ustaarabu wakati, miradi yote ya kuchangia ktk jamii wakisimama wao inafanikiwa kuliko nyie. Kutahiri hakukuanzia kwenu wala kwa hao watakatifu wenu, kulianzia kwa Abraham, na hiyo ilitembea ktk tamaduni nyingi,ila baadae haikuwa lazima ila muhimu kutokana na mazingira. Hadi sasa uvaaji mzuri ni wa kimagharibi sasa umagharibi na uswahili wapi na wapi?
Shida yenu, hamjui sana mnachokifanya, ndio maana watu hawana muda wa kupeteza nanyi ktk maneno,wanawaachia assignment kwa vitendo. Vitu ving mnavyojisifu navyo waswahili km kumkaribisha mtu, kumuonyesha mtaa ni redundant. Hivyo vyote internet simu zinafanya sasa nani ashukuru simu aliyonunua kwa hela yake?Nyie kila kitu mlilipwa. Na hizo nyumba zenu mjini kabla ya kuwashinda na kuziuza nani hajui shida zake, ndo za mikeka, vita na wapangaji kuwa kila siku unakula nyama, sijui unakuja na mchumba na sio kuchukua mabint zao, zamu za kjinga kuosha choo, kuchuguliana ndani, kelele za mapaka na chuma ulete. Dunia imeshawaacha sana nyie watu.