Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,204
Nitakusaidiaje sasa km Umeamua kuweka ndoto za mchana kuwa core of your thinking? Unachofanya hakina tofauti na psychopaths mwingine yeyote. Mjinga km wewe hakuna kitu usichoweza kitumia km sababu kwa vile Kujidanganya kumekutawala sana. Nani anatangatanga?Chadema halisi tangu waanze ipenda hadi leo hawajawahi hama chama, chadema halisi tangu waingie ktk chama hawajawahi kuwa na vikao vya siri na ccm, chadema halisi hawajawahi kuhangaika na kusumbuka na upepo wa siasa. In fact unateseka zaidi wewe kuliko hayawani, kila dkk matukio yanageuka na kukuacha ukiwa busy ktk issue za kipuuzi.Hii yote ni hasira! Big stage wapi? Mbona mmeshindwa itumia sasa hyo big stage mmebaki tangatanga kama mahayawani? Shida ni matusi na dharau vimewajaa ila ktk kupanda ngazi hamuwezi wenyewe ila kwa msaada wa mnaowatukana!
Sisi ndo tumewabeba ila Jasho letu leo mnalitemea mate.
Sent using Jamii Forums mobile app
teh teh. Dharau?Sidhani km unaweza nishawishi kwa namna yoyote nikuheshimu. Na sio mimi tuu hata watu wengine wenye kuona ndani zaidi ya box. Wewe hata udandie matukio mazuri na kuyateka km kawaida yako i can simply see nini unataka fanya baadae. Upo very limited in thinking, haujai mkononi.
KWA UJUMLA WEWE HUNA TOFAUTI NA WATANGAZAJI WA CLOUDS. Ndani ya clouds wanakuwa very powerful km vile wapo CNN. Nje ya clouds ujanja wao wote unaishia kuwa upepo tuu.Kaza mwanangu na office yako mpya.Imesambaratika km nyumba ya mganga.Mganga ni masikini km shetani siku zote,kila cent anayoipata haina faida kwake na kwa wengine. Kila rasilimali ya mchawi na mganga ni kuharibu alichoumba Mungu. Kaza mwanangu, zikishajaa mimba za kutosha ndio tutakuona unatokaje.