Je, inawezekana Bunge kukataa kupitisha mkataba uliokwisha sainiwa na Serikali?

Je, inawezekana Bunge kukataa kupitisha mkataba uliokwisha sainiwa na Serikali?

econonist

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
20,189
Reaction score
29,663
Swali la msingi ni kwenye kuridhia mikataba ya kimataifa, Bunge linauwezo wa kuukataa mkataba ambao umekwisha sainiwa na serikali? Na Je, Bunge likiukataa huo mkataba Nini kitatokea?

Naomba mtaalamu wa sheria za Kimataifa kwenye ratifications of treaties atusaidie.
 
Sio mwanasheria
Maoni sioni hili Bunge likipinga huu mkataba sisiemu ni kikundi cha hovyo ktk uovyo.
 
Back
Top Bottom