econonist
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 20,189
- 29,663
Swali la msingi ni kwenye kuridhia mikataba ya kimataifa, Bunge linauwezo wa kuukataa mkataba ambao umekwisha sainiwa na serikali? Na Je, Bunge likiukataa huo mkataba Nini kitatokea?
Naomba mtaalamu wa sheria za Kimataifa kwenye ratifications of treaties atusaidie.
Naomba mtaalamu wa sheria za Kimataifa kwenye ratifications of treaties atusaidie.