Je, inawezekana chanjo ya Virusi vya Corona kupatikana kwa usawa?

Je, inawezekana chanjo ya Virusi vya Corona kupatikana kwa usawa?

MakinikiA

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2017
Posts
5,104
Reaction score
6,827
Je, inawezekana chanjo ya Virusi vya Corona kupatikana kwa usawa?

Seth Barkley (centre) and the billionaire philanthropist Bill Gates (left) in a 2015 press conference

Seth Berkley kutoka Muungano unaotoa Chanjo (kulia, karibu na Bill Gates) akitoa wito wa kupatikana kwa chanjo ya Covid-19 kwa kila mmoja

Lakini tayari kuna wasiwasi kuhusu vile suluhisho la virusi vya corona kutoka kwa kampuni kama ya Inovio, inaweza ikawa inapatikana kwa nchi tajiri pekee.

Miongoni mwa wanaotoa onyo la kutokea kwa pengo katika utoaji wa chanjo ni mtaalamu wa magonjwa ya kuambukiza Seth Berkley.

Huyu ni mkurugenzi mtendaji wa shirika la kimataifa la chanjo- Gavi, katika mashirika ya sekta za kibinafsi na ya umma yaliyojitolea kuongeza upatikanaji wa chanjo kati nchi 73 maskini zaidi duniani.
 
Imeandikwa

Amelaaniwa yule amtegemeaye mwanadamu

Maneno hayo yalisikika kwenye ibada ambapo mlangoni kuna ndoo takribani 7 huku pembeni kukiwa na mkaguzi ambaye ameacha misa ndani ili kusimamia wale majeuri wataotaka kuwaambukiza watumishi kwa makusudi, kwa kukiuka sheria ya kunawa maji na sabuni
 
Dawa itapatikana ila kwa hao hao tunaowaita mabeberu. Usawa gani wakati ni hela yako tu. Labda hela itakuwa haipo itabidi tena tuombe mkopo kwa mabeberu.
 
Je inawezekana chanjo ya Virusi vya Corona kupatikana kwa usawa?
Seth Barkley (centre) and the billionaire philanthropist Bill Gates (left) in a 2015 press conference


Seth Berkley kutoka Muungano unaotoa Chanjo (kulia, karibu na Bill Gates) akitoa wito wa kupatikana kwa chanjo ya Covid-19 kwa kila mmoja

Lakini tayari kuna wasiwasi kuhusu vile suluhisho la virusi vya corona kutoka kwa kampuni kama ya Inovio, inaweza ikawa inapatikana kwa nchi tajiri pekee.

Miongoni mwa wanaotoa onyo la kutokea kwa pengo katika utoaji wa chanjo ni mtaalamu wa magonjwa ya kuambukiza Seth Berkley.

Huyu ni mkurugenzi mtendaji wa shirika la kimataifa la chanjo- Gavi, katika mashirika ya sekta za kibinafsi na ya umma yaliyojitolea kuongeza upatikanaji wa chanjo kati nchi 73 maskini zaidi duniani.
Usidanganywe na mtu atakayetaka kukupa chanjo ya corona virus. Ikija nawasihi muikatae kama kanga za ccm
 
Wataalam waje wataje sifa za Virusi,pia kama kuna Kirusi kilicho na Chanjo au Tiba kamili..
Kwa upande wangu nahisi kirusi kina tabia za kustaajabisha kama kuwa mfu au hai na bado kikafanya maambukizi kikiingia katika mfumo wa kuki "activate"
Chanjo ya kirusi haipo labda mniambie tunafanyiwa "genetic modification" ili Corona virus asiwe harmful kwa afya zetu.. Haya mawazo tu!
 
Wataalam waje wataje sifa za Virusi,pia kama kuna Kirusi kilicho na Chanjo au Tiba kamili..
Kwa upande wangu nahisi kirusi kina tabia za kustaajabisha kama kuwa mfu au hai na bado kikafanya maambukizi kikiingia katika mfumo wa kuki "activate"
Chanjo ya kirusi haipo labda mniambie tunafanyiwa "genetic modification" ili Corona virus asiwe harmful kwa afya zetu.. Haya mawazo tu!
kuna mtu alisema chanjo hiyo inauwezekno wa kupita na kizazi fulani ambacho kimewekwa kwenye target
labda tuseme unaugua kisukari bsada ya chanjo kisukari kinapmba moto

uta survive dhidi ya corona ila lile gonjwa lingine linalo kukabili na lililokusumbua muda mrefu litakuwa limeharakishwa ili kukumaliza. marehemu alikufa kwa kisukari...

anyway ni mastori ya kijiweni ya watu tuliosoma what is civics
 
Polio si nu kirusi au sio mbona ina chanjo.Ndui nayo si ina chanjo
 
Back
Top Bottom