Barakoa Covid
New Member
- May 21, 2020
- 3
- 0
Hajto naomba unipe number za hao mafundi maana yangu nimenunua hata Dec 2019 watoto wapiga na Kioo ukikishika hakionyeshi kupasuka ila ukiwasha ndio unaona mistari na wino mweusi... Samsung 49inch 4k.Usawa huu nikatoe tena 1.5m ya TV ngumuu mazee...nakuomba sana unipe hizo namba mkuu