Barakoa Covid
New Member
- May 21, 2020
- 3
- 0
Leo nimeenda kwa fundi mitaa ya kariakoo,nimefanikiwa kuitengeneza tv yangu ndani ya masaa mawili imetengemaa,
Sasa mkuu hapo umeokoa nini si bora ungeuza screpa ukaongeza pesa ukachukua mpya? Hizo Samsung za Sauz nilipo wanauza 480k kwa inch 32 sijui wew ulichukua bei gani.Ni kweli kabisa nilifanikiwa kubadilisha kioo ila kwa gharama ya shilingi laki mbili na nusu
Kipenda cha roho mdada,Nilipenda tu kuwa nayoSasa mkuu hapo umeokoa nini si bora ungeuza screpa ukaongeza pesa ukachukua mpya? Hizo Samsung za Sauz nilipo wanauza 480k kwa inch 32 sijui wew ulichukua bei gani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaishi Bunda?Habari zenu wana JF, poleni kwa majukumu ya pilika pilika ya kutafuta pesa.
Jamani naombeni ushauri wenu. Nyumbani nina TV aina ya Samsung zile za South Africa inch 32.
Leo dogo ameiangusha hiyo TV kwahiyo kioo kinaonyesha rangi rangi tu. Je, kuna uwezekano wa kutengenezwa kwa fundi iyo TV ama nifanyaje? Ushauri wenu muhimu sana
Tuambie gharama za kutengeneza hiyo tv tulinganishe na kununua tv mpyaLeo nimeenda kwa fundi mitaa ya kariakoo,nimefanikiwa kuitengeneza tv yangu ndani ya masaa mawili imetengemaa,
Kwa inch 32 kwa kariakoo sh 280,000 mpaka 300,000 unavuta tv mpya star X and coNi kweli kabisa nilifanikiwa kubadilisha kioo ila kwa gharama ya shilingi laki mbili na nusu
Ushasema Star X,mie nilikuwa nina Samsung,kwaiyo izo ni kampuni mbili tofautiKwa inch 32 kwa kariakoo sh 280,000 mpaka 300,000 unavuta tv mpya star X and co
Sent using Jamii Forums mobile app
Sony tv, ila ni gharama kuliko tv zingine kwa sifa zinazofanana.Jamanii nataka kununua TV kwa wajuzi nitajuaje! tv yenye kioo chenye kuonyesha high quality ya picha??kwa kuangalia specification zinanzia namba ngapi ubora wa picha
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa gharama ya sh ngapi?Leo nimeenda kwa fundi mitaa ya kariakoo,nimefanikiwa kuitengeneza tv yangu ndani ya masaa mawili imetengemaa,