that manzi
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 385
- 1,246
Habari ya jioni wakuu katika Jf, poleni na hongereni kwa hekaheka za siku ya leo..
nimekaa hapa nikarafakari nikajiuliza nikakosa majibu imebidi nililete kwenu naombeni kuuliza wajuzi wa mambo mnijuze…
Je ni kweli inawezekana ukampenda mtu ambae hujawahi kumuona? like labda unaskia tu sauti yake? nazungumzia ule upendo kimapenzi yaaani mtu unaweza ukafall deeply kabisa?
Inawezekanaje? hebu ambao mlishawahi kufall au kupenda mtu kabla hamjaonana mje mtupe story ilikuaje na nini kilitokea
Je huo upendo huwa unaongezeka au unapungua baada ya kuonana?
nimekaa hapa nikarafakari nikajiuliza nikakosa majibu imebidi nililete kwenu naombeni kuuliza wajuzi wa mambo mnijuze…
Je ni kweli inawezekana ukampenda mtu ambae hujawahi kumuona? like labda unaskia tu sauti yake? nazungumzia ule upendo kimapenzi yaaani mtu unaweza ukafall deeply kabisa?
Inawezekanaje? hebu ambao mlishawahi kufall au kupenda mtu kabla hamjaonana mje mtupe story ilikuaje na nini kilitokea
Je huo upendo huwa unaongezeka au unapungua baada ya kuonana?