that manzi
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 385
- 1,246
Maandishi majina feki na picha za celebrities ila wanaume mmejaaliwa mapendo mengiWatu tunapenda maandishi sembue sauti !
Nilipokuwa kijana mara nyingi nilishindwa kuunganisha mapenzi kwa sauti ya mtu na sura yake.Habari ya jioni wakuu katika Jf, poleni na hongereni kwa hekaheka za siku ya leo..
nimekaa hapa nikarafakari nikajiuliza nikakosa majibu imebidi nililete kwenu naombeni kuuliza wajuzi wa mambo mnijuze…
Je ni kweli inawezekana ukampenda mtu ambae hujawahi kumuona? like labda unaskia tu sauti yake? nazungumzia ule upendo kimapenzi yaaani mtu unaweza ukafall deeply kabisa?
Inawezekanaje? hebu ambao mlishawahi kufall au kupenda mtu kabla hamjaonana mje mtupe story ilikuaje na nini kilitokea
Je huo upendo huwa unaongezeka au unapungua baada ya kuonana?
duuhNilipokuwa kijana mara nyingi nilishindwa kuunganisha mapenzi kwa sauti ya mtu na sura yake.
Iko hivii, nilikuwa switch board operator enzi hizo, saazingine ilitokea kuvutiwa sana na sauti za baadhi ya wasichana na mara zote nilipomfuatilia mhusika mara zote sikuvutiwa nao hata kidogo!
Baadaye nilikuja ku conclude kwamba wasichana wenye sauti nzuri sana, hawana mvuto kwangu, nikaishia hivyo.
Lakini suala la teknolojia mpya ya mitandao kama tunavyoandikiana sasa hivi nadhani kuna tofauti kubwa.
Kwa namna ninavyovutiwa sana na thread ama comments za baadhi ya wanawake humu Jf, nadhani nikionana nao ana kwa ana siwezi kuanza kutathmini tena sura, naoa.
Kwa sababu hufurahishwa sana na mwanamke mwenye 'madini' kichwani kuliko misura.
nilisahauHumu wote ma-men
sawaKama ni mapenz ya mtandaoni nakushauri achana nayo utapoteza muda bure
😂😂😂😂😂agapeKuna dada nampenda humu na sijawai hata kumuona, ni shem wangu nampenda sana huyu dada.
NB: NI UPENDO WA AGAPE
Kama unamjua mtaje.
kwa kweli hata me sielewiNaonaga ni uongo tu huo, hamna ile real connection, mtakua mnapendana ila sio upendo wa kweli hasa kwa Me, ila Ke wanapenda kweli sometimes ila mwanaume akwambie kakupenda na hamjawahi kuonana (kwa sauti tu), anakupiga kamba huyo hatupogo hivyo sisi.
au Id 😂me kuna avator naipenda sielewi😂Watu tunapenda maandishi sembue sauti !