Je, inawezekana kuomba Chuo Kikuu kwa kwenda moja kwa moja Chuoni?

Je, inawezekana kuomba Chuo Kikuu kwa kwenda moja kwa moja Chuoni?

Class

Member
Joined
Mar 19, 2023
Posts
29
Reaction score
19
Habari za muda huu.

Naombeni msaada na muongozo wa namna ya kupata nafasi ya kusoma shahada katika CHUO KIKUU bila kupitia mfumo uliowekwa na TCU maana huko nmekosa.

Iko hivi,mdogo wangu ana division II ya 10 PCB ikiwa
Chemistry -D
Biology -C
Physics -C

Dirisha la kwanza aliomba courses nyingi za afya maana ndoto zake ilikua kusoma MD.bahati mbaya akakosa

Dirisha la pili akaomba Tena,hapo ikabidi acheki course zingine hapo nyingi zilijikita kwenye afya ila akachanganya na zingine ikiwemo za IT .bahati nzuri kuna chuo wakamchukua computer science ingawa yeye anadai hakuomba computer science katika CHUO hicho, hivyo akaomba wamtolee kwakua yeye hakutaka kusoma computer science katika chuo hicho,na aliomba wamtolee kwakua dirisha la tatu lilifunguliwa

Dirisha la tatu akaomba Tena lakini Jana majibu yametoka na hakuna chuo kimemchukua.

Kiukweli amekua mnyonge sana na akicheki wenzake wamepata na wapo kwenye mandalizi ya kwenda vyuoni.

Tafadhali mwenye uzoefu anisaidie muongozo.
 
Haiwezekani kabisa mkuu àsing'ang'anie TU Afya ajaribu koz zingine kwanza siku izi wanafaulu wengi huo ufaulu wake uko chini sana
Asante mkuu,kwa Sasa sio afya you anataka zingine pia ila udahili umefungwa tayari
 
Kozi za Afya zipo na ushindani mkubwa Sana .

Kitu Ambacho mmeshindwa kukijua mapema .

Kama Ana two ya 11 mwambie uwezekano wa yeye kutafuta chuo cha Afya Private kama Bugando, Kampala , kairuki , KMC.

Kuhusu TCU tayari yeye jina lake kwenye mfumo wa TCU lipo

Kama upo DSM waweza nenda pale Magogoni TCU watakupa ABC.

Vyuo vya Afya serikali degree huwa wanachukua kuazia division one point 3 hadi 5.

Ushauri

Nenda TCU

Wasiliana na Vyuo vya private

Kama hela ipo asome private nafasi atapewa tu
 
Kozi za Afya zipo na ushindani mkubwa Sana .

Kitu Ambacho mmeshindwa kukijua mapema .

Kama Ana two ya 11 mwambie uwezekano wa yeye kutafuta chuo cha Afya Private kama Bugando, Kampala , kairuki , KMC.

Kuhusu TCU tayari yeye jina lake kwenye mfumo wa TCU lipo

Kama upo DSM waweza nenda pale Magogoni TCU watakupa ABC.

Vyuo vya Afya serikali degree huwa wanachukua kuazia division one point 3 hadi 5.

Ushauri

Nenda TCU

Wasiliana na Vyuo vya private

Kama hela ipo asome private nafasi atapewa tu
Shukrani sana mkuu,Yuko na two ya 10.
Kwa Sasa ameachana na afya anataka zingine
 
Shukrani sana mkuu,Yuko na two ya 10.
Kwa Sasa ameachana na afya anataka zingine

Yupo dsm if yes mwambie aende katika chuo alichochaguliwa mwanzo then anaonekana hajitambui au hana washauri wazuri.

Two ya 10 kupata course za Afya serkalin ni ngumu na haiwezekani

So mwambie awasiliane na chuo alichokuwa ameomba mwanzo wamuingize katika system au akiwezekana aende physically
 
Yupo dsm if yes mwambie aende katika chuo alichochaguliwa mwanzo then anaonekana hajitambui au hana washauri wazuri.

Two ya 10 kupata course za Afya serkalin ni ngumu na haiwezekani

So mwambie awasiliane na chuo alichokuwa ameomba mwanzo wamuingize katika system au akiwezekana aende physically
Kwa Sasa yeye yupo mkoani,na chuo alichopata mara ya kwanza ni mkoani pia ila Mimi nipo dsm.

Mkuu Sasa hapo nianze TCU au Chuo anachotaka kusoma
 
Hapana chief mie ni Mzee kwa Sasa,huyu ni last born wetu ndio anahangaika na elimu
Pole Sana , mkuu je wewe ulitaka asome chuo gani

Kama hautojali kesho nenda IFM pale TCU uongee nao then mtafutie chuo hapa hapa DSM

Anzia IFM then nenda na CBE na UDSM ukifika nenda ofisi za udaili utaongea nao watakusaidia mkuu.
 
Haya ndo mambo ya kupelekana chaka yaan mtu akasome kitu chochote ilimradi aende chuo bhas then after kumaliza chuo nn kinafata
 
Pole Sana , mkuu je wewe ulitaka asome chuo gani

Kama hautojali kesho nenda IFM pale TCU uongee nao then mtafutie chuo hapa hapa DSM

Anzia IFM then nenda na CBE na UDSM ukifika nenda ofisi za udaili utaongea nao watakusaidia mkuu.
Nataman asome DIT,UDSM au ardhi,

Kesho nitafanya hivyo mapema sana,shukrani sana kwa muongozo
 
Haya ndo mambo ya kupelekana chaka yaan mtu akasome kitu chochote ilimradi aende chuo bhas then after kumaliza chuo nn kinafata
Ni kweli lakini kiutanzania watu wengi sana wanasoma nje ya ndoto zao na sababu ni nyingi.sababu zipo zinazokwepeka na zingine hukwepi hasa kama hujafikia ufaulu unaotakiwa kwa course husika
 
Hapo kama ndoto yake ni MD ingekua bora zaid aanze tu na diploma no way,,,,,,, kupata chuo kwa koz za afya ngazi ya degree ni ngumu sana kwasabab ya ushindani hasa muhas.
 
Tofaut na hapo ndo utakuta mtu umepambana na PCB na ndoto yako ni udaktar unakuta anasoma uhasibu au maendeleo ya jamii
 
Kama mtu anauwezo wa kujigharamikia masomo yake basi anaweza kuomba chuoni direct
Lakini kama anategemea mkopo hapo ni lazima atumie TCU

Kwa ufaulu huo ni ngumu kupata kwenye kada anayoitaka kupitia TCU
Ila akiomba kama private nahakika atapata

I stand to be corrected
 
Habari za muda huu.

Naombeni msaada na muongozo wa namna ya kupata nafasi ya kusoma shahada katika CHUO KIKUU bila kupitia mfumo uliowekwa na TCU maana huko nmekosa.

Iko hivi,mdogo wangu ana division II ya 10 PCB ikiwa
Chemistry -D
Biology -C
Physics -C

Dirisha la kwanza aliomba courses nyingi za afya maana ndoto zake ilikua kusoma MD.bahati mbaya akakosa

Dirisha la pili akaomba Tena,hapo ikabidi acheki course zingine hapo nyingi zilijikita kwenye afya ila akachanganya na zingine ikiwemo za IT .bahati nzuri kuna chuo wakamchukua computer science ingawa yeye anadai hakuomba computer science katika CHUO hicho, hivyo akaomba wamtolee kwakua yeye hakutaka kusoma computer science katika chuo hicho,na aliomba wamtolee kwakua dirisha la tatu lilifunguliwa

Dirisha la tatu akaomba Tena lakini Jana majibu yametoka na hakuna chuo kimemchukua.

Kiukweli amekua mnyonge sana na akicheki wenzake wamepata na wapo kwenye mandalizi ya kwenda vyuoni.

Tafadhali mwenye uzoefu anisaidie muongozo.
Huyo hajitambui... muache akae kwanza mwaka mzima mtaani... kisha mwakani atakuwa ameshafanya maamuzi nini asome!
 
Huyo hajitambui... muache akae kwanza mwaka mzima mtaani... kisha mwakani atakuwa ameshafanya maamuzi nini asome!
Maamuzi take ni kusoma MD ila ufaulu umemgharimu. Kilicholeta Shida hasa ni kuwaza kith kipya ambacho hakukiwaza
 
Back
Top Bottom