Je, inawezekana kuomba Chuo Kikuu kwa kwenda moja kwa moja Chuoni?

Ngoja tujaribu tu kuomba direct ,tutapambana huko mbele
 
Maamuzi take ni kusoma MD ila ufaulu umemgharimu. Kilicholeta Shida hasa ni kuwaza kith kipya ambacho hakukiwaza
Kama anapenda MD aende Kairuki watampokea ila aandae pesa ya IST kabisa!
 
πŸ˜‚πŸ˜‚ Kumbe huyu mdogo wetu atulie tu sasa nayeye anacase kama yake huyo ila yeye ana 2 ya 11 PCB (DDC) alikosa zote za afya pamoja na Bach. Of Science in Biology πŸ˜‚ Hadi Wildlife Management. Inabidi asubiri Diploma. Tu intake ya March kama ipo. Hapo ndio anaona hasara ya Advance ilihali Olevel alipata One ya 8
 
Mrejesho.

Nmekwenda TCU na wameshauri niende chuo husika ninachohitaji.kesho nitakwenda chuoni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…