ninahisi kuna mtu anashinikiza muende naye kupima... sasa kama we huna uhakika na afya yako fanya hivi, nenda peke yako hospitali yoyote bila kumpa taarifa ukapime (kama hujiamini tafuta mtu mwingine akusindikize)... ukipata majibu ndio urudi kwa huyo anayetaka muende naye huku ukijua kabisa majibu yatakuwaje.