Je, inawezekana kuomba kutumiwa majibu ya vipimo kwa njia ya SMS?

Je, inawezekana kuomba kutumiwa majibu ya vipimo kwa njia ya SMS?

ninahisi kuna mtu anashinikiza muende naye kupima... sasa kama we huna uhakika na afya yako fanya hivi, nenda peke yako hospitali yoyote bila kumpa taarifa ukapime (kama hujiamini tafuta mtu mwingine akusindikize)... ukipata majibu ndio urudi kwa huyo anayetaka muende naye huku ukijua kabisa majibu yatakuwaje.

Nashukuru kwa ushauri,ni mi mwenyewe nahitaji nikapime lakini nipo na hofu sana,na kupokea majibu papo kwa hapo itaniwia vigumu ndo mana nkaomba kujua kama inawezekana ukaenda kupima alafu ukatumiwa majibu baadae kwa sms?
 
Nashukuru kwa ushauri,ni mi mwenyewe nahitaji nikapime lakini nipo na hofu sana,na kupokea majibu papo kwa hapo itaniwia vigumu ndo mana nkaomba kujua kama inawezekana ukaenda kupima alafu ukatumiwa majibu baadae kwa sms?

hapo labda muongeee tu kiundugu na huyo mpimaji... ila taratibu za kazi ni kupewa majibu kituoni...

pole kwa hofu uliyonayo.
 
Back
Top Bottom