Je, inawezekana kuyafurahia maisha pasipo sex?

Je, inawezekana kuyafurahia maisha pasipo sex?

mcTobby

JF-Expert Member
Joined
Feb 16, 2018
Posts
4,072
Reaction score
12,119
Nimejaribu kutafakari sana hili swala, je mfano mtu anaweza kufurahia haya maisha pasipo kufanya AINA YOYOTE YA MAPENZI Na akaishi peacefully life? Nimejikuta najiuliza hili swali sana mara kadha wa kadha

Yaani mtu akafurahia maisha kwa kufanya starehe zingine ambazo hazikinzani na sheria za nchi wala kukiuka maadili mf. kusafiri, kutalii, kula vizuri ku meditate., Kusoma vitabu , kujifunza new hobbies, ku appreciate nature n.k .
 
Inawezekana ila kama utafanya utaratibu wa kuvuruga mfumo wako wa hormone ukaondosha kabisa testosterone kwa mwanaume au oestrogen kwa mwanamke! Utaishi kwa amani wala hutasikia mtalimbo kuwasha au papuchi kutekenya!

Kinyume na hapo wataleta mrejesho wakuu!
 
Inawezekana ila kama utafanya utaratibu wa kuvuruga mfumo wako wa hormone ukaondosha kabisa testosterone kwa mwanaume au oestrogen kwa mwanamke! Utaishi kwa amani wala hutasikia mtalimbo kuwasha au papuchi kutekenya!

Kinyume na hapo wataleta mrejesho wakuu!
We jamaa wewe!
 
Unaweza kama ukiwa na hobby I nayo ku satisfy. Inaweza kuwa kukimbia, kuogegelea nk. Ninakumbuka katika malezi ya vijana hasa wanaobalehe tuliwashauri wakipata hisia wafanye shughuli inayowatoa jasho.
 
kuna hii kitu inaitwa semen rentetion


What are the purported benefits?

People point toward a variety of benefits to semen retention, such as:

Mental

more confidence and self-control

less anxiety and depression

increased motivation

better memory, concentration, and overall cognitive function

Physical

greater vitality

increased muscle growth

thicker hair, deeper voice

improved sperm quality

Spiritual

deeper relationships

stronger life force

better overall happiness






 
Labda uwe na tatizo la kiafya!
Na hilo tatizo lisikupate ukubwani ,namaanisha uwe hujawahi kuonja rahaa ya kupendwa/kupenda na hujui utamu wa mbususu kabisa ndo unaweza kuishi kwa rahaa bila kufanya ivo.

Lakini bado me naona roho itakuwa inakuuma tu.

Yaani una Pesa zako flesh alafu pisi kari ni unaziangalia tu.[emoji28] huna mtoto wala nini!!
Sasa Pesa unakuwa unatafuta za nini?? Ujenge ili iweje sasa??


Mkuu samahani kama ntakuwa nimetoka nje ya mada kidogo.
Una katatizo kanakokusumbua kiafya kuhusu mgegedo????? Maana mpaka unawaza ivi sio bure[emoji848]
 
Labda uwe na tatizo la kiafya!
Na hilo tatizo lisikupate ukubwani ,namaanisha uwe hujawahi kuonja rahaa ya kupendwa/kupenda na hujui utamu wa mbususu kabisa ndo unaweza kuishi kwa rahaa bila kufanya ivo.

Lakini bado me naona roho itakuwa inakuuma tu.

Yaani una Pesa zako flesh alafu pisi kari ni unaziangalia tu.[emoji28] huna mtoto wala nini!!
Sasa Pesa unakuwa unatafuta za nini?? Ujenge ili iweje sasa??


Mkuu samahani kama ntakuwa nimetoka nje ya mada kidogo.
Una katatizo kanakokusumbua kiafya kuhusu mgegedo????? Maana mpaka unawaza ivi sio bure[emoji848]
Utafanya starehe zote ila mwishowe lazima umalizie na kugegeda.

Kweli huwe na mihela alafu watoto kama wakina paula unawaangalia tuu bila kusasambua mbususu!? Hapana bwana raha ya hela ni kuweza kuwavua chupi warembo uwatakao wewe na sio kuwa na mijengo duniani kote
 
Back
Top Bottom