Unakaribishwa mei mosiWacha bhana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakaribishwa mei mosiWacha bhana
Hapana mkuu asante.nitoe kwenye hiyo laanaUnakaribishwa mei mosi
Laana ni kula au kuliwa mbususu kabla ya ndoa na sio idadiHapana mkuu asante.nitoe kwenye hiyo laana
Mpole sanaNakuonaga mpole loh[emoji119][emoji119]
Pamoja sana Chief.tuko pamoja🥂Laana ni kula au kuliwa mbususu kabla ya ndoa na sio idadi
Yap mpole sana lkni unaonekana pia ni simba mwenda poleMpole sana
Kwenye hiyo sekta sidhani kama kuna mpole Chakorii.Yap mpole sana lkni unaonekana pia ni simba mwenda pole
Sabuni zetu na vaseline zilipona?Inawezekana kabisa, mapenzi ni mindset tu
Nishawahi kukaa 2 yrs bila bila, na nilikuwa tu very happy na mambo yangu. Ila nilityuni mindset ivo
HAIWEZEKANINimejaribu kutafakari sana hili swala, je mfano mtu anaweza kufurahia haya maisha pasipo kufanya AINA YOYOTE YA MAPENZI Na akaishi peacefully life? Nimejikuta najiuliza hili swali sana mara kadha wa kadha.
Yaani mtu akafurahia maisha kwa kufanya starehe zingine ambazo hazikinzani na sheria za nchi wala kukiuka maadili mf. kusafiri, kutalii, kula vizuri ku meditate., Kusoma vitabu , kujifunza new hobbies, ku appreciate nature n.k .
Unahitaji maombi!ulijuaje anatiana kama hujatiana nae?🙌🙌Kwenye hiyo sekta sidhani kama kuna mpole Chakorii.
Kungonoka hakuna mwenyewe, mfano kuna mama mchungaji mmoja hapa maeneo ya jirani nilikuwa namchukulia poa aseeeee kilichotokea siku tatu zilizopita ni hatari lakini salama. Mama anatiana yuleeee ni shida aseeee
Kwenye hiyo sekta sidhani kama kuna mpole Chakorii.
Kungonoka hakuna mwenyewe, mfano kuna mama mchungaji mmoja hapa maeneo ya jirani nilikuwa namchukulia poa aseeeee kilichotokea siku tatu zilizopita ni hatari lakini salama. Mama anatiana yuleeee ni shida aseeee
She-MaleSamahani ,wewe jinsia gani ?
Bila picha ya Mama mchungaji ni uzushi tu.[emoji706]Kwenye hiyo sekta sidhani kama kuna mpole Chakorii.
Kungonoka hakuna mwenyewe, mfano kuna mama mchungaji mmoja hapa maeneo ya jirani nilikuwa namchukulia poa aseeeee kilichotokea siku tatu zilizopita ni hatari lakini salama. Mama anatiana yuleeee ni shida aseeee
Kabisa. Utaishije bila sex? Ina maana hutahitaji watoto?You have to be genderless to afford this.
Nitajie starehe yyte kubwa ambayo unaweza kuifanya ukaenjoy bila ya kuwa na mwanamkeNimejaribu kutafakari sana hili swala, je mfano mtu anaweza kufurahia haya maisha pasipo kufanya AINA YOYOTE YA MAPENZI Na akaishi peacefully life? Nimejikuta najiuliza hili swali sana mara kadha wa kadha.
Yaani mtu akafurahia maisha kwa kufanya starehe zingine ambazo hazikinzani na sheria za nchi wala kukiuka maadili mf. kusafiri, kutalii, kula vizuri ku meditate., Kusoma vitabu , kujifunza new hobbies, ku appreciate nature n.k .
Yes naweza, si naset mind tu baasiKasema maisha yako yote sio miaka miwili
TehSabuni zetu na vaseline zilipona?
😂😂She-Male