SIo lakini unakuwa master wa masturbation mzeya?
Yes naweza, si naset mind tu baasi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yes naweza, si naset mind tu baasi
Inawezekana ila kama utafanya utaratibu wa kuvuruga mfumo wako wa hormone ukaondosha kabisa testosterone kwa mwanaume au oestrogen kwa mwanamke! Utaishi kwa amani wala hutasikia mtalimbo kuwasha au papuchi kutekenya!
Kinyume na hapo wataleta mrejesho wakuu!
Inawezekana ila kama utafanya utaratibu wa kuvuruga mfumo wako wa hormone ukaondosha kabisa testosterone kwa mwanaume au oestrogen kwa mwanamke! Utaishi kwa amani wala hutasikia mtalimbo kuwasha au papuchi kutekenya!
Kinyume na hapo wataleta mrejesho wakuu!
Koo habari za mama mchungaji umekuja kuzimwaga huku..... Wazee wa miaka hii wambea mbeaKwenye hiyo sekta sidhani kama kuna mpole Chakorii.
Kungonoka hakuna mwenyewe, mfano kuna mama mchungaji mmoja hapa maeneo ya jirani nilikuwa namchukulia poa aseeeee kilichotokea siku tatu zilizopita ni hatari lakini salama. Mama anatiana yuleeee ni shida aseeee
Kwahio mtoto mzuri kama wewe usilike jamani! Hapana naogopa kukwambia 😌Vyakula gani kwa mfano hupunguza hizo hormones?! Au mazoezi gani?! Au life style gani hufisha/huua hizo hormones
Huyu bwana atakuwa kashazamia sana kwenye mchezo wa kujichezea nyeti.Na kashapoteza confidense na uwezo wa kutawalaUna shida gani mkuu! Tuanzie hapo...
Ukiacha wewe uzinzi inatoshaMchango wangu ni kwa wasio oa wala kuolewa.
INAWEZEKANA SANA,NAMIMI niliwahi sikia haiwezekani ila nimekuja jua kuwa hamu ya sex ni mind set tu ndomana ukiwa na mitikasi fulani imekubana hata ukiwa na mpenzi unajikuta huna hamu mpaka umalize mishe zako.
Mimi tangu niamue kutofanya nina mwaka na miezi mitatu na niko sooo fine sina shida yoyote ile,na sifanyi mpaka nioe.
Acheni uzinzi ndugu zangu
Nimejiuliza hili piaKwanini unawaza kuipindua nature ndugu? Tuanzie hapo labda.
Sex ipi?Nimejaribu kutafakari sana hili swala, je mfano mtu anaweza kufurahia haya maisha pasipo kufanya AINA YOYOTE YA MAPENZI Na akaishi peacefully life? Nimejikuta najiuliza hili swali sana mara kadha wa kadha
Yaani mtu akafurahia maisha kwa kufanya starehe zingine ambazo hazikinzani na sheria za nchi wala kukiuka maadili mf. kusafiri, kutalii, kula vizuri ku meditate., Kusoma vitabu , kujifunza new hobbies, ku appreciate nature n.k .
Naam, ni watamu sana.Napenda Sana WAKE za watu
Na Mimi naanza Leo tarehe 1 May 2021Mchango wangu ni kwa wasio oa wala kuolewa.
INAWEZEKANA SANA,NAMIMI niliwahi sikia haiwezekani ila nimekuja jua kuwa hamu ya sex ni mind set tu ndomana ukiwa na mitikasi fulani imekubana hata ukiwa na mpenzi unajikuta huna hamu mpaka umalize mishe zako.
Mimi tangu niamue kutofanya nina mwaka na miezi mitatu na niko sooo fine sina shida yoyote ile,na sifanyi mpaka nioe.
Acheni uzinzi ndugu zangu