Je, inawezekana kuzalisha Bia ya unga?

Masalu Jacob

JF-Expert Member
Joined
Jul 26, 2017
Posts
1,013
Reaction score
1,183
Habari Tanzania!

Kwa wale wataalamu na wabobezi wa vileo, naomba kuuliza eti inawezekana kuzalisha bia ya unga na sio kimiminika kama zilivvyo nyingine?

Mfano mtu unaifunga kwa kiwango tofauti aidha gramu au kilogramu kulingana na soko.

Karibu.
 
Bia ina process zake za utengenezaji, kuiweka kwenye state ya unga utakua ushaondoa sifa ya kuitwa bia.
 
Bia ina process zake za utengenezaji, kuiweka kwenye state ya unga utakua ushaondoa sifa ya kuitwa bia.
Inawezekana lakini haitaitwa Beer,kule vijijini nimeona wakitengeneza pombe kwa kutumia Mahindi,ina jina lake nimesahau.

Ingawa naamini kama unapitia process kama za kutengeneza Beer itakuwa nzuri na safi kwa mlaji...
 
Bia ina process zake za utengenezaji, kuiweka kwenye state ya unga utakua ushaondoa sifa ya kuitwa bia.
Bia ni bidhaa kama bidhaa nyingine.

Swali langu je, haiwezekani kuiweka katika powder form badala ya liquid form?
 
Halafu ikiwa in form of unga lugha itabadilika from 'daah niko nagonga vyombo huku sinza' na itakua 'duuh niko nalamba Unga huku sinza mzee baba'.
Haahaa brother.

Inawezekana mbona kubadili lugha mzee baba haahaa.
 
Haahaa brother.

Inawezekana mbona kubadili lugha mzee baba haahaa.
Hahah daah itachukua muda kidogo kuzoea mkuu.

Jamaa wa kule korea kaskazini walianza kuzitengeneza bia ambazo hazina hangover,najua huo mfano wangu nimeenda nje ya point lkn nimejaribu kuonyesha tu nadhani modifications nyingi tu zinaweza kufanyika kuhusiana na bia so hata kua inform of unga wanaweza wajomba wakiamua mkuu.
 
Haahaa
 
Kumbe Supadipu zilikua zinalewesha?

Sikua najua aisee.
Ni soda ktk mfumo wa unga, kwa hiyo cocaine nikiidailyuti ikawa ktk mfumo wa kimiminika tayari inageuka kuwa bia na naweza kwenda kunywa hata pale pembeni ya polisi central?
 
Ni soda ktk mfumo wa unga, kwa hiyo cocaine nikiidailyuti ikawa ktk mfumo wa kimiminika tayari inageuka kuwa bia na naweza kwenda kunywa hata pale pembeni ya polisi central?
Supadipu ilikua haieleweshi ndio maana isingeweza kuitwa/kufananishwa na White gold/coke.

BTW dawa za kulevya siku hizi wanazitengeneza kama kidonge cha kumumunya kwa hio popote tu unapata stimu,hapo Kilimanjaro kuna mzungu alikamatwa yeye bangi ameiprocess mpk anatengeneza Jam ya kupaka kwny mkate,Keki etc
 
Yawezekana,km sijakosea mwaka jana Kuna kampuni kubwa tu ya beer India ilizindua beer za unga zinaitwa kingfisher instant beer packet.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…