Uko sawa point yangu ilkuwa hata beer ikiwa ktk mfumo wa unga ibaki kuwa named as beer hivyo hivyo!Supadipu ilikua haieleweshi ndio maana isingeweza kuitwa/kufananishwa na White gold/coke.
BTW dawa za kulevya siku hizi wanazitengeneza kama kidonge cha kumumunya kwa hio popote tu unapata stimu,hapo Kilimanjaro kuna mzungu alikamatwa yeye bangi ameiprocess mpk anatengeneza Jam ya kupaka kwny mkate,Keki etc
Naona haya mawazo ni ya nyimbo ya FA ile ingekuwa vipi 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Daah hio itakua ni from Kibo gold to Foma gold.
All the best boss.
Hahah nilikua nakumbuka kuna wimbo humo ndani imetajwa foma gold na kibo gold lkn nilikua najiuliza ni msanii gani kaimba hii mambo.,hahahNaona haya mawazo ni ya nyimbo ya FA ile ingekuwa vipi 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Ukisikiliza ingekuwa vipi utapata idea nyingi sana za ajabu na fikirishi.Hahah nilikua nakumbuka kuna wimbo humo ndani imetajwa foma gold na kibo gold lkn nilikua najiuliza ni msanii gani kaimba hii mambo.,hahah
Very simple chief....Mkuu mbona hizi soda za supadipu hazikuitwa cocaine?
Duh !Huko kwetu vijijini kuna pombe ya ulezi ya kienyeji huwa inatengenezwa inakuwa kama mabumunda hivi (solid)
Ukitaka kuinywa unachemsha maji unatumbukiza hilo bumunda la pombe unakoroga unapata pombe mara nyingi wanainywa kwa kutumia Mirija ya kienyeji
Oooohoo sasa ndio mambo maji njoo maji kimbia.Yawezekana,km sijakosea mwaka jana Kuna kampuni kubwa tu ya beer India ilizindua beer za unga zinaitwa kingfisher instant beer packet.
hahah Kweli mkuu,sasa ukitoka hapo then ukasikiliza Kwangwaruu au jeje unaishia kutoka umedindish.. tu,wala huingizi kitu kipya kingine kichwani mkuu.Ukisikiliza ingekuwa vipi utapata idea nyingi sana za ajabu na fikirishi.
Iwe kwenye instant powder...ukitaka kugonga unaweka kwenye maji basi mambo yanaendelea.Bia ni bidhaa kama bidhaa nyingine.
Swali langu je, haiwezekani kuiweka katika powder form badala ya liquid form?
Duh !Inawezekana, ila itakuwa sio beer yenye kimea halisi kama hizi tulizozizoea. It will be more of chemical ingredients ambazo utapozichanganya na maji zitatoa kilevya.
Sawa kumbe hata bia za unga haziwezi kuwa cocaine zitapata jina lake tuVery simple chief....
Ndio maana haziitwi soda, na badala yake zikaitwa supadipu
Powdered milk ni natural kabisa, yanakuwa derived from liquid milk by spray drying method.Duh !
Eti kwanini maziwa ya ng'ombe ni asilia (natural liquid form) lakini yanabadirishwa na kuingia katika mfumo wa unga (powder form)?
YeahSawa kumbe hata bia za unga haziwezi kuwa cocaine zitapata jina lake tu