Uko sawa point yangu ilkuwa hata beer ikiwa ktk mfumo wa unga ibaki kuwa named as beer hivyo hivyo!Supadipu ilikua haieleweshi ndio maana isingeweza kuitwa/kufananishwa na White gold/coke.
BTW dawa za kulevya siku hizi wanazitengeneza kama kidonge cha kumumunya kwa hio popote tu unapata stimu,hapo Kilimanjaro kuna mzungu alikamatwa yeye bangi ameiprocess mpk anatengeneza Jam ya kupaka kwny mkate,Keki etc