Je, inawezekana mtu akalala na mwenye UKIMWI tena peku na asipate UKIMWI?

Kwa mwendo huu, hautafika popote.... try to grow up!!!!

Nina kinywa kichafu kukuzidi wewe, so ukitaka league ndugu ya maneno machafu apa ndio nyumbani.. Nakuomba tu ufuate kilichokuleta humu, tusiwaaribie watu mood.. Naomba turudi kwenye mada husika..
 
Mkuu deception ninaomba maelekezo katika yafuatayo; 1.yale maji ya limao ni lazima yatumiwe asubuhi tu na yachanganywe na maji tu? Namaanisha hakuna mbadala wa maji labda kama juice ya matunda unachanganya na limao na ikafanya kazi kama inavyotakiwa? 2. Unaweza ukatumia vyakula gani ili kuondoa sumu za madawa na vyakula mbalimbali mwilini? Au kama zipo dawa ni dawa gani ambazo zinatoa sumu mwilini?
Mkuu deception ukweli umenifungua fahamu juu ya vyakula mfano nyanya zile chungu kabisa na ile minyanya ambayo sio michungu.pia hawa jamaa wametuletea mavitunguu swaumu yale makubwa na meupe vivyohivyo na matangawizi yao ya kisasa yaani najiuliza mantiki ya kutuletea mavyakula ya aina hii ni nini na wao wanayatumia kweli!!! Ukija kwenye yale makuku yao ya wiki mbili ni shida hivi kweli hawa watu weupe wanayala kweli? Hapa inabidi tufunguke fahamu ndugu zangu na cha ajabu hawa madaktari wetu sijasikia wakituelimisha juu ya vyakula gani tutumie na vipi tusitumie.Hapa nina mfano mmoja kuhusu hivi vyakula,kuna mjapani mmoja aliniuliza mbona mayai ya tanzania ni white white?akaniambia kwao ni white yellow.hapo mnapata picha gani wana jf wenzangu?
 

KUhusu kuku wa kizungu mimi ndio bingwa wa kuwala aiseeh, na walivyo rahis kupika na kuiva basi dakika mbili naanda, yan ndio msosi wangu mara kwa mara, sijajua itaniletea madhara gani, napenda kuku aseeh
 
weka nakala ya utafiti wako acha maneno yasiyo na msingi.

Ni vizuri ukasoma kwanza toka mwanzo ukaelewa, maana kila kitu kimeshaongelewa uko nyuma, we unabisha tu kwa umeamua kubisha na sio kama unataka kufahamu kitu, ni vizur ukatuliza akil yako kwanza ukasoma na kuelewa then uulize maswali, maana apa tunarudi nyuma badala ya kwenda mbele
 

oh!...nimeomba nakala ya utafiti wa mkuu Deception ili nijisomee kwa umakini kwa sababu nimeona kuna vitu vya msingi amevidokeza hapa, wewe unasema nabisha....nimebisha kipi na unataka nikubali kipi? bahati mbaya kabisa huwa sijuwi kubishana, huwa napenda kujifunza, nataka nijifunze kutoka kwenye ugunduzi wa Deception lakini kabla hata hajaniforwardia nachohitaji wewe umeshaanza hizo mnazoita ligi!!!!...au ni mtu mmoja ID mbili?!!
 
Last edited by a moderator:



Ndugu yangu deception hapo ndipo mada ilipolala. Naomba link ya post zako juu ya maswali ya ndugu yetu hapo juu. We umeshajiridhisha, uturidhishe na sisi
 

Ndio maana nakwambia usome toka mwanzo, we tulia soma vizuri, maswali yako tu yanaonyesha hujafuatilia toka mwanzo, ndio maana nakusisitizia usome

Wewe ni muongo hupendi kujifunza kama unavyodai ila unataka ligi ambayo apa ndio nyumbani kwake, ila tu bahati mbaya huu si wakati wa ligi ni wakati wa kufahamishana tu na kueleweshana

Mimi na deception ni ID mbili na wawili tofauti wenye imani tofauti na ndio maana deception haamini kama ukimwi upo ila mimi naamini upo na unaua, ila kwa upande wa ARV unaruhisiwa tu kusema mimi na deception ni mtu mmoja
 
Last edited by a moderator:

Mkuu ...warumi na deception ni watu wawili tofauti sio MTU mmoja
 
Last edited by a moderator:

oops! nimeomba nakala kwa lengo zuri tu la kusoma kwa umakini na kujifunza, hata kama unauza sema mkuu nitanunua1
 
Mimi sipo apa kwa ajili ya kumshabikia mtu, nipo apa kwa ajili ya kujifunza, na sio vitu vyote anavyosema deception basi mimi nakubaliana navyo vyote, mi deception nimemuelewa sana kuhusu ARV sana, na ninamshukur kwa hilo sana, ila suala la UKIMWI kutokuwepo apo bado kabisa sikubaliani nae, najua ukimwi upo na unaua, nipo apa kwa ajili ya kuelewa ni jinsi gani ya kupambana na hivyo VVU bila kutumia ARV basi na si vinginevyo, apa ndio Deception nasubiria aelezee vizuri, ila mimi ni muumini ya wale wanaoamini kuwa UKIMWI upo na unaua kwa sababu sijapata hoja iliyoshiba ya kukana uwepo wa UKIMWI wakati nashuhudia ndugu, jamaa na marafiki wakipoteza kwa ajili ya UKIMWI, labda nahitaji kuelewa zaidi ili niondokane na haya mawazo mgando ambyo yameusonga ubongo wangu
 
Last edited by a moderator:
Mkuu ...warumi na deception ni watu wawili tofauti sio MTU mmoja

NImeshamwambia mimi ni muumini wa wale wanaoamini kuwa UKIMWI upo na unaua, ila deception anapinga haupo, ila kuhusu ARV nimemuelewa sana deception na ninamshukur kwa hilo sana yani, labda nahitaj kueleweshwa zaidi kuhusu uwepo wa ukimwi fake, ila kwa sasa bado siamini kama ukimwi haupo, hyo ndio tofauti yangu na deception na ndio maana naendelea kumfuatilia sana ili nione hatma yake, nina uhakika jamaa anajua vingi vingi huenda nikashawishika ,bado naendelea kumsoma
 

Binamu Deception anaamin UKIMWI upo na ulikuwepo tangu zaman means before 1980s ila asichoamin ni HIV/VVU na ARV
 
Last edited by a moderator:
Watu wengi tunaogopa UKIMWI kwa kuwa tunajua hauna tiba wala kinga....

Hapana,nadhani unakumbuka nilivyosema kwamba,ukimwi ulikuwapo tangu karne nyingi tu,na una kinga na tiba pia ambazo nilishaziorozesha.Sasa hivi hawa jamaa wamekuja kuujenga uongo kwenye vichwa vyetu kwenye misingi ya ukweli tunaoujua kwamba eti ukimwi unasababishwa na HIV na hauna kinga wala tiba,hii sikweli na nikatolea uthibitisho wake,baadhi ya uthibitisho unaonekana kwa macho hata humu kuna watu wengi wameshajionea wenyewe kwamba HIV hasababishi ukimwi(pamoja na kwamba kwa uelewa wangu HIV ni feki).
Nadhani wewe mwenyewe umemsikia yule mgunduzi wa HIV(HIV kwangu ni feki) alichosema,sasa ninashangaa watu wanang'ang'ania kusema HIV/AIDS haina kinga wala tiba wakati mgunduzi mwenyewe anasema HIV ana kinga na ana tiba.Unajua kasumba ikitawala kwenye vichwa vya watu ni kitu kibaya sana.Watu wakiona watu wanakonda na kufa hawawezi kufikiri upande wa pili na badala yake wataelemea kwenye kasumba,kweli hawa jamaa wametuchakaza sana.

... ila kuna magonjwa kama MARALIA, TB na magonjwa mengi tu ambayo yana Tiba,kinga
na dawa ila bado vifo vinatokea mfululizo especially vinavyosababishwa na maralia
....

Umeona eenh!!
Magonjwa yana tiba na dawa lakini watu bado wanakufa,na yalikuwapo hata kabla ya HIV kutangazwa na yalikuwa na tiba na dawa lakini watu bado walikuwa wanakufa kwayo.Lakini leo hii ukitibiwa magonjwa hayo halafu ukashindwa kupona watasema HIV ndio amehusika.

1. Kwa hiyo hao wanaoukufa kwa maralia,tb nk CD 4 zao zinakuwa ndogo (kinga) au nini kinachowaua?..

Sio wote wanaokufa kwa magonjwa hayo wana CD4 chache.Kuhusu nini kinawaua,ni sayansi ya ugonjwa wenyewe husika jinsi unavyodhoofisha mwili.

2. Mtu ukiwa na Upungufu wa kinga mwilini (CD 4) that means una ukimwi? ..

Ndugu yangu,hao waliotudanganya wana definition nyingi sana tofauti za ukimwi.CD4 zako zikiwa chini ya kiwango fulani wanachokisema kuwa ni safe watakwambia una ukimwi.Ukiwa na TB+HIV watakwambia una ukimwi lakini ukiwa na TB bila HIV ukimwi huna,ukiwa na Dementia+HIV una ukimwi lakini ukiwa na Dementia bila HIV huna ukimwi na kuendelea....Hata hizo CD4 walisema kama ni chini ya 250 basi una ukimwi,wakaja wakaongeza na kuwa 350 na sasa hivi wakaongeza tena imekuwa 500,na baadhi ya maeneo wanatumia hiki kiwango cha CD4 chini ya 500 kusema kwamba una ukimwi.Yaani wanabadilisha kila kukicha.
Lakini wanaangali CD4 kama ndio pekee inahuska kwenye kinga ilihali kuna mambo mengine lukuki.

..3. Wote wanaoathirika na Ukimwi lazima wafe vifo vya mateso? Kama kuarisha sana, homa, vidonda mwilini nk, ina maana hakuna waathirika wanaokufa natural death?, yani alikuwa mzima kiafya ila kalala ndo ikawa kwa heri. ..

Hao tulioambiwa ni waathirika wa ukimwi,huwa hawafi kwa ugonjwa unaofanana,lakini wengi wanakufa kwa mateso sana.Na ukichunguza utagundua kwamba magonjwa yanayowaua huwa mara nyingi ni;
1.Moyo 2.Ini kufeli 3.figo kufeli 4.Anaemia 5.Cancer ukifanya uchunguzi wako binafsi utakuja kuleta marejesho hapa hata kwenye uzi mwingine,sio lazima afe hata kama kazidiwa,we chunguza nini kinamsumbua lazima kitaangukia kwenye moja ya hayo niliyotaja juu.
Ukiona kafa kwa TB,Malaria,itakuwa aidha kachelewa kutibu au hakufuata masharti ya dozi au mwili umekataa ku respond dawa kutokana na sumu ya ARVs.Chunguza huku ukiwa na free mind utajua tu.

4. Nataka kujua dalili moja tu ya waathirika wa UKIMWI ambayo hakuna mgonjwa yeyote anayeweza kuipata isipokuwa waathirika tu, achilia mbali homa, kuarisha, vidonda mwilini nk....

Hakuna dalili kama hiyo.Kama kuna mtu anayepinga anaweza kusema ni dalili gani hiyo.

...5. Nataka kujua kinachowaua wagonjwa wa UKIMWI na wagonjwa wa MARALIA...

Ukimwi hauui,bali ugonjwa unaoupata kutokana na upungufu wa kinga ndio unaoweza kukuua.Madaktari ndio wanaweza kukueleza kwa kina jinsi malaria inavyoua,to be honest mimi siwezi vinginevyo nitakudanganya tu.


Unajua mambo kama hayo ndiyo yanayowachanganya watu,watu hawana uelewa wa kutosha na hatimaye wanafanya hitimisho lisilo sahihi kwa kutumia kasumba.Unajua kama unafanya maamuzi ya kitu kwa kutumia kasumba,wewe mwenyewe unakuwa hujijui,na badala yake unajiona uko sahihi kabisa.

Sasa ili uweze kufanya hitimisho la mambo kama hayo uliyoeleza ni lazima ufanye controlled study ya tukio zima.Mambo haya uliyoeleza ni sawasawa na swali la mwana JF mmoja ambaye analalamika kwamba ninakimbia kumjibu.Huwezi kujibu swali kama hilo kwa usahihi kwa kutumia hisia tu,kama utafanya controlled study kila kitu kinaelezeka.
Mtu akiwa hana uelewa wa kutosha kuhusu jambo fulani hata mahitisho atakayotoa yatalingana na uelewa alionao.Sasa wewe mwenyewe utajithibitishia.Leo hii umepata elimu tofauti humu JF,sasa itumie elimu hii kufanya udadisi wa mambo kama hayo upya.Lazima utakuja na maelezo yenye mashiko tofauti na kipindi cha nyuma ambacho ulikuwa huelewi ukweli huu.Jaribu kufanya utafiti.Kwa kuwa najua wewe ni mfuatiliaji sana wa mambo,nina uhakika lazima utapata jibu sahihi tu.


Exactly,najua wewe warumi unayajua haya yote,ila najua unatafuta uhakika tu.Yaani inanifariji sana kuona udadisi kama huo ulionao,watu wachache sana wako kama wewe.
Wewe wala usitumie nguvu nyingi;Tumia tu ushauri wa yule Prof aliyegundua HIV(kwangu HIV ni feki),yaani;

1.Nutrition
2.Antioxidants
3.Hygiene
4.Clean water

Naongezea;
5.Mazoezi kama vile kukimbia
6.Kuepuka madawa ya hospitali pasipo ulazima kama vile madawa ya uzazi wa mpango na madawa ya kutuliza maumivu.
7.Ukishindwa kuacha,basi punguza kunywa pombe kali.
8.Epuka matumizi ya madawa ya kulevya
nk

Huyu prof mgunduzi alisema ukiwa na kinga imara HIV(kwangu HIV ni feki) hawezi kukaa mwilini,na pia hata kama yupo mwilini tayari ukibadili tabia na kuweka kinga yako imara, kinga yako utamtoa HIV.Sasa kama huyu Prof watu hawawezi kumwamini,mimi nashindwa kupata picha huyo mwingine wanayemwamini ni nani wakati huyu ndiye mgunduzi?
 
oops! nimeomba nakala kwa lengo zuri tu la kusoma kwa umakini na kujifunza, hata kama unauza sema mkuu nitanunua1

Narudia tena, anza kusoma toka mwanzo, vinginevyo una matatizo yako binafsi , kama una nia ya kujifunza soma, usipoelewa uliza na sisi kama hatujaelewa tupate kueleweshwa, huu uzi sio wa deception wala wa kwangu ni wa kila mtu, na ndio maana nakusisitizia usome kijana, acha uvivu wa kusoma, jifunze kupenda kusoma kabla ya kuanzisha marumbano yasiyo na msingi.
 
Binamu Deception anaamin UKIMWI upo na ulikuwepo tangu zaman means before 1980s ila asichoamin ni HIV/VVU na ARV

Yani mi bado naamini vyote vipo, ahaha ahah sijui ndio ujinga tuliomezeshwa sijui ila bado najua vyote vipo, hahahh na ndio maana nasema mimi ni MJINGA na nipo humu ili nieleweshwe, maana nauogopaje ukimwi mwenzio? AHaha
 
KUhusu kuku wa kizungu mimi ndio bingwa wa kuwala aiseeh, na walivyo rahis kupika na kuiva basi dakika mbili naanda, yan ndio msosi wangu mara kwa mara, sijajua itaniletea madhara gani, napenda kuku aseeh

Mbona nilisikia wanakuzwa na vyakula vilivyochaganywa na ARV ili kuwanenepesha na kukua sasa sijui ka ni kweli tangia hapo siwalagi hao kuku.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…